Habari zenu, nimekuwa tofauti kidogo pengine ni kawaida kwa kila mtu kupata kikohozi kidogo, hii ilianza yapata miaka mitatu iliyopita sasa nikaona nije humu mnisaidie.
Asanteni
Hata mie Niko hivo.miaka mingi sasa.nimeizoea. hasa Kwa Milo mirefu
Nkila nkimaliza baada ya mda najikuta nakohoa na vile vitu vinatoka kama Kwa mtu mwenye kikohozi.nimeizoea but sifanyi mbele ya watu nasogea huko ama chooni maana kina sauti.mtu atasema unabanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.