Ukimkiss hakikisha unamfunga bandage lidomo lake, utakuja kunishukuru.Habar wadau !!
Nipo katika mahusiano na binti fulan hv ajabu tukikiss anaweka mate mdomon kisha anatema chin nimeongea nae sn lkn hatak kuiacha kiac insfika wakat najisikia vibaya mno nimegombana nae lkn hatak ata tuwe chumban tukikiss anaweka mate mdomon kisha anaenda kutema bafun anasema nidimlaximishe kuyameza mate ata tukisex mate anaweka mdomon after sex anaenda kutema bafun
Kwauchunguz niliofanya nimebain hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomon kisha ataongeza spid ya mwendo su kubadilu uelekeo nis yke tu ateme ayo mate ila nisimuone
Nifanyejr
nilitegemea jibu kama hili [emoji23][emoji23] ..Piga mswaki kila baaada ya mlo
Nilijua tu wrng mngezan mdomo wangu mchafu mm huwa narnda hsptal kusafisha meno kila miex sita mdeak napiga kils siku kiac kwamba naends kushoot video lkn mwenzangu wapiVipi mdomo wako unasmell good lkn? Isijekua ni kama panya kafa afu unataka dada wa watu ameze mimate yako mkuu
uko sawa kwel?Hivi mnapataga wapi ujasiri wa kuanza kunyonyana mate aisee ?? ..
Jitahidi uwe unatembea na mswaki kabla huja mkiss uswaki kwanza uchunguzi unaonyesha ndio sababu hadi mate yanamjaa mdomoniHabar wadau !!
Nipo katika mahusiano na binti fulan hv ajabu tukikiss anaweka mate mdomon kisha anatema chin nimeongea nae sn lkn hatak kuiacha kiac insfika wakat najisikia vibaya mno nimegombana nae lkn hatak ata tuwe chumban tukikiss anaweka mate mdomon kisha anaenda kutema bafun anasema nidimlaximishe kuyameza mate ata tukisex mate anaweka mdomon after sex anaenda kutema bafun
Kwauchunguz niliofanya nimebain hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomon kisha ataongeza spid ya mwendo su kubadilu uelekeo nis yke tu ateme ayo mate ila nisimuone
Nifanyejr
Mjomba situmii kilevi chochote bangi sigara no na kils 6 mounth laxima nikasafishe meno kitaalamu hata upige mswak vp kuna uchafu hubak kwenye kinywa na aps nipo nshangaika nitafute pafyumu za mdomoDemu Anakinyaa ..asikupe shida.
Kama kashindwa kubadilika, basi badilika kwa ajili yake !!!!
Denda ni uzungu ,usikute unavuta sigara, pombe, tumbaku, bangi ,meno ya njanoo kama za jezi za wananchi.
niko bien kabisa mkuu, sio kila mtu anaweza hivyo vitu .. wengine tuna vinyaa vya ajabu ..uko sawa kwel?
Mm siwez kutans demu bils kupitisha mswaki kuoga nipo ivoJitahidi uwe unatembea na mswaki kabla huja mkiss uswaki kwanza uchunguzi unaonyesha ndio sababu hadi mate yanamjaa mdomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo umenena tena bila uvumilivu utaona kila mtu hafaimapenzi yana mengi
Jitahidi kuwa na pipi muda wote mdomo tafunatafuna hata zile big g. P.K mint zinasaidia saidia bhanaMm siwez kutans demu bils kupitisha mswaki kuoga nipo ivo