suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
Kwa mwandiko huu, nimeshajua tatizo ni nini.Nilijua tu wrng mngezan mdomo wangu mchafu mm huwa narnda hsptal kusafisha meno kila miex sita mdeak napiga kils siku kiac kwamba naends kushoot video lkn mwenzangu wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mdomo wako unasmell good lkn? Isijekua ni kama panya kafa afu unataka dada wa watu ameze mimate yako mkuu
Hebu tofautisha Kati ya kiss na kunyonyana almaarufu denda mi sijakuelewa kipi hapendi Kati ya denda na busu.Mjomba situmii kilevi chochote bangi sigara no na kils 6 mounth laxima nikasafishe meno kitaalamu hata upige mswak vp kuna uchafu hubak kwenye kinywa na aps nipo nshangaika nitafute pafyumu za mdomo
Huenda una kitu kibaya kama harufu mbaya ambacho hataki kukwambia kwa kuhofia kukuumiza. Kwani lazima mpeana mimate?Habari wadau
Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni
Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone
Nifanyeje?
Huyo sio mpenzi wakoHabari wadau
Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni
Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone
Nifanyeje?
Vipi wewe kabla ya kuanza mnapeana mikono Nini?Hivi mnapataga wapi ujasiri wa kuanza kunyonyana mate aisee ?? ..
Badala ya kumuuliza kwa nini anafanya hivyo unagombana nae na kumlazimisha vinginevyo.Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate
Nifanyeje?
Aisee kuna watu tumeumbwa na vinyaa mkuu ..Vipi wewe kabla ya kuanza mnapeana mikono Nini?