Umbea?? Just kuprove uaminifu bana!
Ha ha haaa! Tatizo ukiwa too paranoid unaishia kuishi ka askari wa idara ya upelelezi, mengine unapotezea. Yakikuzidu uzani, unajiweka pembeni maisha yanaendelea!Mapenzi ya siku hizi nyakati za simu yanaumiza kweli.
Ukiona mpenzi wako kakutumia meseji nzuri ya mapenzi tofauti na mwandiko wake unaoujua, jiongeze, siyo kila kitu uambiwe.
una bypass kwa kucopy then unapaste 😂😂Afu siku hizi whatsapp ukifoward text inaandika kabisa ni forwarded.
Kumbe na wewe ni mwanachama wa chama hiki?[emoji848]Karibu tena chamani mkuu
Amaizing frani 😹😹😹😹Ajali kazini mzee
Hivi huwa mnatumia njia gani kuwapata wasichana wa aina hii ? Maana kila siku naona mnalialia tu wadau.Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!
Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****
Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.
Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???
Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!
Nasema bora amejua mapema kuliko angemuoa ndio ajue kuwa kuna mwanaume mwingine.Ila na wewe hadi kufikia kutapa kupeleka posa ulikuwa hujamchunguza.. halafu simu huaribu mahusiano ya watu usizoee kuchunguza simu ya mwenzako ndo maana yaitwa simu ya kiganjani...hakuna kushare kiganja na mwimgine.. ndoa nyingi huvunjika kisa simu......
Kupekua simu si umbea. Mm huwa nampaga wangu amakaa nayo hata siku nzima wala sina tatizo.ndio umbea kupekua cm za watu ulichokitaka umekipata
Kazi unafanya saa ngap mkuu au wew ni mjukuu wa MengiChaputa niliachaga kitambo na sina mpango wa kurudi. Hapa mazoezi kwa sana, movies, books na games plus tours!!
Pole sanaWakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!
Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****
Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.
Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???
Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!