Kila nikimtumia meseji nzuri anaifowadi kwa bwana mwingine!

Kila nikimtumia meseji nzuri anaifowadi kwa bwana mwingine!

Mapenzi ya siku hizi nyakati za simu yanaumiza kweli.
Ukiona mpenzi wako kakutumia meseji nzuri ya mapenzi tofauti na mwandiko wake unaoujua, jiongeze, siyo kila kitu uambiwe.
 
Mapenzi ya siku hizi nyakati za simu yanaumiza kweli.
Ukiona mpenzi wako kakutumia meseji nzuri ya mapenzi tofauti na mwandiko wake unaoujua, jiongeze, siyo kila kitu uambiwe.
Ha ha haaa! Tatizo ukiwa too paranoid unaishia kuishi ka askari wa idara ya upelelezi, mengine unapotezea. Yakikuzidu uzani, unajiweka pembeni maisha yanaendelea!
 
Mkuu umefanya maamuzi kwa kukurupuka sana!

Ningenunua vumbi la kongo nimkule kotekote huku namtamkia maneno yenye mahaba yaliyotukuka na ahadi tele za hari majina ya watoto n.k

Ningemuacha aende kwa amani na ningemtumia tena sms nzuri ya kimapenzi na ningeweka jina la Mjomba Dau mwishoni.

Mpuuzi sana huyo mwanamke wako.
 
WELCOME TO THE CLUB
welcome-to-the-club-gif-3.gif







MADOGO NILIOWAACHA PRE-FORM 1 WAKO CHUO
 
Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!

Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****

Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.

Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???

Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!
Hivi huwa mnatumia njia gani kuwapata wasichana wa aina hii ? Maana kila siku naona mnalialia tu wadau.

Inabidi mjitathmini upya,lazima kuna sehemu mtakua mnakosea sana.

Ole wenu msipojirekebisha.
 
Ila na wewe hadi kufikia kutapa kupeleka posa ulikuwa hujamchunguza.. halafu simu huaribu mahusiano ya watu usizoee kuchunguza simu ya mwenzako ndo maana yaitwa simu ya kiganjani...hakuna kushare kiganja na mwimgine.. ndoa nyingi huvunjika kisa simu......
Nasema bora amejua mapema kuliko angemuoa ndio ajue kuwa kuna mwanaume mwingine.
Co swala la kutokushika simu , uaminifu ni kitu cha gharama sana yaani. Lazima kuwe nanuaminifu kati yenu.
Kushika simu ya mwenzio si dhambi. Si dhambi kabisaa..
 
ndio umbea kupekua cm za watu ulichokitaka umekipata
Kupekua simu si umbea. Mm huwa nampaga wangu amakaa nayo hata siku nzima wala sina tatizo.
Ishu ni kwamba uaminifu, kwann mfichane fichane vitu, mnafichana had simu kweli?

Labda mtakuwa si waaminifu ndio maana.
 
Ilitakiwa akishaforward asisahau kufuta msg, picha, video na audio kufuta ushahidi. Yote yasingetokea kama angekuwa an click delete button
 
Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!

Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****

Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.

Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???

Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!
Pole sana
 
Back
Top Bottom