Kila nikimtumia meseji nzuri anaifowadi kwa bwana mwingine!

Asante anko Dau, huwa sina ratiba ya kurudia makapi wakati bucha kila siku zinafunguliwa mpya!!

Ila anko sio poa bana, demu anakutumia text zng we unachekeleeea!!
Hata hiyo bucha mpya kuna wateja watakuja wengine huwezi kuwa mnunuzi wa nyama peke yako
 
Hivi huwa mnatumia njia gani kuwapata wasichana wa aina hii ? Maana kila siku naona mnalialia tu wadau.

Inabidi mjitathmini upya,lazima kuna sehemu mtakua mnakosea sana.

Ole wenu msipojirekebisha.
Duh! Hebu nipe mbinu mpya
 
Mkuu cjamuacha kizembe zembe! Atakuwa anapulizwa na feni huko
 
Pole man....mapenzi ni hisia nzito ukiforce sana utaumia tu.....be strong create the future....Nimekumbuka mbali mno but all in all life must go on
 
Safi huu ndio uamuzi wa kiume kuna maboya watakuja kukwambia mchumba achunguzwi...achana nao chief simama kwenye msimamo wako ...tena zaid piga kimya ...!! ....na potezea kabisa ..!! Act like a man not boy ...ni hayo chief
 
Angeyajuaje yote ...?? ...kama unajijua mchumba wa MTU means umeshajiridhia kuwa naye.. So kinachotakiwa ...kuwa mtulivu ..na kufuta mafile zote chafu....!!
 
Hii tabia ni kero. Yupo Binti nilisha wahi kutoka nae huko nyuma, sasa siku karibuni alinitumia text ya [emoji173] kuiangalia vizuri naona ni forwarded kutoka kwingine, sikujibu chochote.
 
Pole man....mapenzi ni hisia nzito ukiforce sana utaumia tu.....be strong create the future....Nimekumbuka mbali mno but all in all life must go on
Yeah, ktk mapenzi time ni best healer
 
Safi huu ndio uamuzi wa kiume kuna maboya watakuja kukwambia mchumba achunguzwi...achana nao chief simama kwenye msimamo wako ...tena zaid piga kimya ...!! ....na potezea kabisa ..!! Act like a man not boy ...ni hayo chief
Asante sana. Now nipo strong kbs. Nakula ugali mkubwa na unapita bila shida
 
Hii tabia ni kero. Yupo Binti nilisha wahi kutoka nae huko nyuma, sasa siku karibuni alinitumia text ya [emoji173] kuiangalia vizuri naona ni forwarded kutoka kwingine, sikujibu chochote.
Ha ha haaaa, yale yale. Wanaboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…