Kila nikimtumia meseji nzuri anaifowadi kwa bwana mwingine!

Kila nikimtumia meseji nzuri anaifowadi kwa bwana mwingine!

Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!

Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****

Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.

Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???

Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!
Pole, don't settle for less hata siku moja.
 
Wakubwa habari!
Jana nimeamua rasmi kuchungulia simu ya mchumba wangu. Aisee kuna jamaa kaseviwa Mjomba Dau, meseji zangu zote za mahaba nzuri nzuri nilizokuwa ninamtumia anazifowadi kwa huyo anko. Nimeingia wasapu asee dedication nyingi nazo kafowadi. Jana nilimtumia Everyday I love you ya Boys to men, nayo kaifowadi. Anko anajibu mahaba nipasue asee!

Basi moyo uliwaka moto, nikaangalia tigo pesa, kumbe jina lake ni Ramadhan Mz*****

Sasa leo nimemuuliza kagoma sana. Tumetifuana hasa kwa pic alizokuwa anamtumia, hata mimi hajawahi kunitumia.

Nimeahirisha rasmi kupeleka mahali, natangaza rasmi naurudia ubachela. Yaani kumpenda kote kule kumbe kuna jamaa linampikia mpaka ugali???

Kweli usilolijua ni kama sanduku la mganga!!!
Ni kheri kumjua mapema mungu hapangiwa kabla ya kupeleka posa alikuonesha kuwa mwanamke anatabia hizi kama utamkerebisha sawa na kama utachananae sawa ila mungu kesha kuonesha kabla hujamuoa kwaio mungu hakosei anacho kifanya
 
Asante anko Dau, huwa sina ratiba ya kurudia makapi wakati bucha kila siku zinafunguliwa mpya!!

Ila anko sio poa bana, demu anakutumia text zng we unachekeleeea!!
Kwahiyo umenipa go ahead uncle? Zile message zilikuwa ukitumiwa ni lazima utacheka tu Samahani kwa hilo
 
Bro mwenzako nampa ela wewe una mpa kwani? Uki muacha wewe namuoa mimi
 
Kama Mwenyekiti wa CHAPUTA.. Nakukaribisha tena.. Uongozi ni ule ule.
 
uzuri wa chama la ubachela hata ukihama bila kuaga siku ukirudi tunakupokea bila shida.
Pole man
 
Ni kheri kumjua mapema mungu hapangiwa kabla ya kupeleka posa alikuonesha kuwa mwanamke anatabia hizi kama utamkerebisha sawa na kama utachananae sawa ila mungu kesha kuonesha kabla hujamuoa kwaio mungu hakosei anacho kifanya
Yes, hapa ni kutoka nduki tuuu
 
uzuri wa chama la ubachela hata ukihama bila kuaga siku ukirudi tunakupokea bila shida.
Pole man
Ni home, so kurudi home si utumwa. Nachukua mkataba mrefu kabisaaa. Sitaki mistress mie!
 
Ila na wewe hadi kufikia kutapa kupeleka posa ulikuwa hujamchunguza.. halafu simu huaribu mahusiano ya watu usizoee kuchunguza simu ya mwenzako ndo maana yaitwa simu ya kiganjani...hakuna kushare kiganja na mwimgine.. ndoa nyingi huvunjika kisa simu......
 
Ila na wewe hadi kufikia kutapa kupeleka posa ulikuwa hujamchunguza.. halafu simu huaribu mahusiano ya watu usizoee kuchunguza simu ya mwenzako ndo maana yaitwa simu ya kiganjani...hakuna kushare kiganja na mwimgine.. ndoa nyingi huvunjika kisa simu......
Ha ha haaa. Nilikuwa sifanyagi huu ujinga. Ila ndo ivo, nimebip bomu, limeripuka!!
 
Back
Top Bottom