Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

imhotep

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55,997
Reaction score
88,219
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninavutiwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
hon-charity-ngilu2.jpg

Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Weka picha yake mbona unaweka ya baba yake
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu
Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani
Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo
Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu
Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Lol 😂 una miaka mingapi imhotep?
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.

Mtoto Sabina Chegge lazima nimfate Nairobi nipige!

Lazima apigwe tu hamna namna!

IMG_1581.JPG
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
mkuu, vipi kwenye eneo la usafiri ume check lakini?

maana mamanzi wa KE.....
 
Beauty with Brains kwa mwanaume aliyebahatika kumpata Charity ana Bahati ya Mtende.
 
Back
Top Bottom