mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Bibi kabisa huyuHuyo hapo. View attachment 1202752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi kabisa huyuHuyo hapo. View attachment 1202752
Hebu weka ya huyo tulia ackson nimuone
Ni single maza Sema ukimpata nipe connection ya namba ya mtoto wake mmoja wa kike kwa Jina Kate aka Katethia Mwende kuna baharia mmoja chotara alimla utotoni iliniuma sana.Sijui watoto wake wa Kike kama anao vitakuwa ni visu kwelikweli.
Ila kama kama ni Single mother mimi niko tayati tumalize nae kilometa zilizobakia
Bibi kabisa huyu
Usiniambie huyu ni mtanzania maana sitaamini. Ni mkenya aliyenunuliwa na ccm?View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu
Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
Mkuu siku nikitia timu SunCity nitafanya upelelezi wangu halafu nitakuPMNi single maza Sema ukimpata nipe connection ya namba ya mtoto wake mmoja wa kike kwa Jina Kate aka Katethia Mwende kuna baharia mmoja chotara alimla utotoni iliniuma sana.
Hahaha..aisee mkuu una utani wa ngumi.Weka picha yake mbona unaweka ya baba yake
View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu
Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
😀😀😀😀😀Huenda alikuwa mrembo lakini alipojiunga na CCM uchawi wa chama ukambabua mwili mzima.
Itakua anataka kua babu yako mkuuAihudumu enzi za Kibaki 2002-2007 kama waziri wa viwanda.
Ni bibi yangu, sijui huyo jamaa anamaanisha kweli au anatania.
Ni single maza Sema ukimpata nipe connection ya namba ya mtoto wake mmoja wa kike kwa Jina Kate aka Katethia Mwende kuna baharia mmoja chotara alimla utotoni iliniuma sana.
Ntashukuru sana wewe mwambie ni ule MTZ beste ake Peter Kanyi alikudara kwenye event ya Papakiloshi pale Machakos show grounds tukiwa watoiii.Mkuu siku nikitia timu SunCity nitafanya upelelezi wangu halafu nitakuPM
Sasa charity ni Bibi amezeeka wewe unapenda watu wazee? Lakini yupo single mumewe aliaga kitambo Sana rusha mistari huenda akavutiwa na maneno yako. Jishindie huyo.Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu
Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani
Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo
Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu
Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Wakamba kwanza sio wachoyo mimi nilikuwa na jamaa yangu alikuwa anaitwa Musyokaa Mutisya tulikuwa tunapewa mahaba mpaka basi. Tukitoka hapo tulikuwa tunaenda pangani Sweeming ili kuondoa ile harupu ya nyapu.Mimi pale Kenya kuna mtoto wa kikamba anaitwa Betty Kyalo namuelewa sana..
Duh! Kazi ya Mungu haina makosa wala duniani hakuna mkamilifu kila mja ana kasoro zake.View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu
Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
Ila Ng'ombe hazeeki maini Lengo langu nitimize ile Ahadi yangu ya kukaa meza moja na Charity Ngilu hata niongee nae mawili matatu roho yangu itulie hapo ndio nifikirie sehemu nyingineSasa charity ni Bibi amezeeka wewe unapenda watu wazee? Lakini yupo single mumewe aliaga kitambo Sana rusha mistari huenda akavutiwa na maneno yako. Jishindie huyo.View attachment 1202819View attachment 1202820