Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Hebu weka ya huyo tulia ackson nimuone
downloadfile.jpg

Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu

Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
 
Sijui watoto wake wa Kike kama anao vitakuwa ni visu kwelikweli.
Ila kama kama ni Single mother mimi niko tayati tumalize nae kilometa zilizobakia
Ni single maza Sema ukimpata nipe connection ya namba ya mtoto wake mmoja wa kike kwa Jina Kate aka Katethia Mwende kuna baharia mmoja chotara alimla utotoni iliniuma sana.
 
Ni single maza Sema ukimpata nipe connection ya namba ya mtoto wake mmoja wa kike kwa Jina Kate aka Katethia Mwende kuna baharia mmoja chotara alimla utotoni iliniuma sana.
Mkuu siku nikitia timu SunCity nitafanya upelelezi wangu halafu nitakuPM
 
View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu
Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.

Japo huwa sikubaliani na mtazamo wako ila hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.

Makopo mawili ya make up, flash juu 😂😂😂
 
Uzuri wa Ngilu huwa haFake kwa Makeup what yo see is what you get kudaadeki
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niuahike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Sasa charity ni Bibi amezeeka wewe unapenda watu wazee? Lakini yupo single mumewe aliaga kitambo Sana rusha mistari huenda akavutiwa na maneno yako. Jishindie huyo.
FB_IMG_1568042951877.jpeg
FB_IMG_1568042815727.jpeg
 
Back
Top Bottom