Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

kasagama

Member
Joined
Nov 6, 2016
Posts
21
Reaction score
31
Habari wanaJamii Forum

Bas bwana baada ya mida ya kazi huwa napenda kukaa kwa wakala mmoja hivi anasajil lain pamoja na kutoa pesa ss kuna fundi nguo mmoja anashona nguo karb yake, kila nikiwa kwa jamaa yule fund anapenda kukutanisha macho na mm, nikamuuliza yule wakala kuhusu dem akaniambia yupo single ila ana mtoto mmoja, baada kama ya wiki jion moja nikamwambia jamaa akachukue soda kisha ampe.

Jamaa akaendea alivyompa demu kuuliza jamaa akamwambia kunywa ukimalza ntakwambia ilipotoka, demu akaiweka pemben akaendelea kushona, ilivyofka jion demu kamiminina kweny dasani akasepa bwana.

Kesho yake jion baaada ya job nikaenda kwa wakala kupata feedback jamaa akasema fundi alichukua bwana, bas jion akiwa anafunga kijiwe nikambana wakala amwambie nina maongezi naye si demu akakubal, alipofunga nikamfata nyuma nikamshika mkono nikafunguka, akaishia kucheka mpaka akakaribia kwao Tukaagana.

Bas tukawa tunachat tu mara tuvizinga twa hapa na pale nami nikawa namtimizia, cku moja nikamwomba show uzur akakubali ila akasema iwe jpil ndo yupo free nikasema ok Jpil ikafka jion nikaenda kuchukua room mitaa ya mbal na home tukafanya mawasiliano demu akaja room.

Stori za hapa na pale nikaanza touch demu katulia tu mara akaanza kukolea, kama kawa mwanaume sitembei kizembe nikavaa ndomu tayr fainali ikaanza nikawasha moto kama nusu saa hiv wazungu hao, demu macho mekundu akaanza muda umeenda akaenda kuoga nikamtoa 15000 akasepa.

Kama wiki hv pale kijiweni kwa wakala kuna fundi wa baiskel kumbe anatoka toka kijiji kimoja na yule fundi cherehani bwana, kama mnavyojua mapenzi hayajifichi mkishakulana yule fundi baskel akamwuliza wakala mbona mm na fundi tupo karib jamaa akamwambia ni rafki yangu, bas yule fund baskel akamwambia wakala yule fundi ana moto na kule kijijin weng wanajua, ilipofka jion mi nikajishusha kwa wakala ndo akanipa huo mchongo dah mwili ulinisisimka ila nikajipa moyo konde nikikumbuka ndomu.

Bas tukaendela kuchat na demu ikafka miez minne nikaenda kupima kujiridhisha nikawa poa, si nikaanza kumsumbua demu kuhusu kupima ili tuendelee inaweza kutokea tukalana peku nikamwambia mambo ya mimba akakubal tukapime, ilipofka cku hiyo dem akawa hapokei sm mpka ucku ndo anapokea et hooo mama amekuja kutoka kijijin, nikasema sawa.

Tukipanga kupima anakubal ikifka cku ya kupima anasema mara busy nguo za wateja nikajua kumbe ni kwel.

Cha ajabu nikimwambia kuhusu gemu anakubal na mm nakausha. Tangia hapo imebaki stori tu japo yy anasema et nmetupa cku hiz. Dah jaman tuwe makini.
 
Habari wanaJamii Forum

Bas bwana baada ya mida ya kazi uwa napenda kukaa kwa wakala mmoja hiv anasajil lain pamoja na kutoa pesa ss kuna fundi nguo mmoja anashona nguo karb yake, kila nikiwa kwa jamaa yule fund anapenda kukutanisha macho na mm, nikamuuliza yule wakala kuhusu dem akaniambia yupo single ila ana mtoto mmoja, baada kama ya wiki jion moja nikamwambia jamaa akachukue soda kisha ampe.
Sijaelewa kitu bado, yani ulikwenda kupima kisa umeambiwa ana mtoto?

By the way kupima ni jambo la hiyari na siyo kila mtu ana ushujaa wa kupima na kupokea majibu.
 
Sijaelewa kitu bado, yani ulikwenda kupima kisa umeambiwa ana mtoto?

By the way kupima ni jambo la hiyari na siyo kila mtu ana ushujaa wa kupima na kupokea majibu.
Baada ya watu wa kijijin kwao kusema alipewa ngoma na jamaa mmoja aliyezaa naye
 
Utelezi ni mtamu ila kumbuka after-effects kama hizi.
KS.jpg
 
Back
Top Bottom