Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

Hio inaogofya sana hata mimi kuna mzigo nilipiga acapella sema nao ulikuwa unazingua sana kufanya testing chenga nyingi yani dah tuombeane tu maana hali inaweza kuwa tete yani.

Before hilo nilishafanya testing mambo yalikuwa dukinaa tu😅
Eti Kwani mdudu kitu gani!?, kwa muhuni
 
Kuna jamaa alipga dem baadae akasikia ana ngoma kumkomalia Dem akampime alikataa kata kata kimbembe kwenye vipimo ck iyo kaniambia BILLDRAGO nimekaa miez minne leo nisindikize nikapime Kama nitakiwa Sina ngoma nitakupa bia nyiing mnoo bas kwa macho yangu majibu yalikua negative Sasa sijuagi alipona pona vip huu ugonjwa sijui ni Kama bahati nasibu ama
 
Kama hivi
IMG_20211119_173017_807.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Vijana tuwe makini sana, kuna baadhi yetu tunapenda utelezi sana na kauli za kikuda et pipi na maganda hainogi. Ni ujinga mimi bora nisisex kama sijapima au sina kondom. Afya yako ni kitu cha muhimu sana ukiidhoofisha ni hatari hata kwa maendeleo yako na inaumiza mno. Kuna siku nitakuja na kisa changu naweza sema niliponea kimuujiza na chovya chovya nimeacha. Nilikuwa sijawai kupima kabisa ila ilinibidi nijikaze nikapime tena mara nyingi ili kujiridhisha.
 
Vijana tuwe makini sana, kuna baadhi yetu tunapenda utelezi sana na kauli za kikuda et pipi na maganda hainogi. Ni ujinga mimi bora nisisex kama sijapima au sina kondom. Afya yako ni kitu cha muhimu sana ukiidhoofisha ni hatari hata kwa maendeleo yako na inaumiza mno. Kuna siku nitakuja na kisa changu naweza sema niliponea kimuujiza na chovya chovya nimeacha. Nilikuwa sijawai kupima kabisa ila ilinibidi nijikaze nikapime tena mara nyingi ili kujiridhisha.
Tupe kisa mkuu tujifunze
 
Nimeishi kwa stress miezi sita!

Nilipita na kitoto flani hivi halafu kikaja kuniacha ghafla tu

Nikashituka!

Katika kukafuatilia, nikagundua kana msululu wa wanyabi!

Kila mtu anapiga, maaanina

Nimekaa kama wiki mbili hivi, mwili ukaanza kuwasha, mchoko wa ajabu ajabu, tumbo kuuma!(kumbe corona)

Hii!

Nikagugo hizo dalili, zikanipeleka moja kwa moja kwenye acute stage za HIV!

Nikataka kuzirai, nikajikaza ndani ya hizo hizo wiki mbili nikaenda kupima, jibu negative....

Doooh, nikapumua kidogo!

sasa nilivyo fala, nikagugo tena---eti kipimo cha HIV(sd bioline) kina detect virus baada ya mda gani?

Duh! nikajibiwa kuanzia siku 28 huko, hahaha presha ikarudi tena

nikakaa kama miezi minne hivi, nikaja kupima tena, majibu yakatoka fresh, sasa kuangalia vizuri kile kipimo nakuta kime expire, daah nikasema poa tu

Kuja kuuliza wataalamu wakanambia hua hakiko accurate, nikatamani kulia

Juzi nimepima tena, hii ni baada ya miezi sita sasa, angalau haya majibu yamenipa moyo...

Mungu mkubwa asee...
 
Back
Top Bottom