habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
- Thread starter
- #41
Asante mkuuAisee!
mi nilifikiri wewe ni mwanaume kumbe ni mwanamke! 'jitahid uwe unapika mara kwa mara utazoea na hutoungua tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuAisee!
mi nilifikiri wewe ni mwanaume kumbe ni mwanamke! 'jitahid uwe unapika mara kwa mara utazoea na hutoungua tena.
wewe subiri nikufuate tabata tuAisee labda kwa kumtumia yule fisi wenu, tofauti Na hapo ni shida
kkama kupika tu waogopa, je kuhudumia mume utaweza?Asante mkuu
Ha ha ha yaani wewe unavyonichokonoa, hivi wanichukuliaje lkn,kkama kupika tu waogopa, je kuhudumia mume utaweza?
Tumia kuni za mkoroshoMkuu natumia LA mafuta wakati mwingine mkaaa
Aiseee mkuu umenifanya nitabasam tu,Tumia kuni za mkorosho
Mbona sisi wenyewe, mama na bibi zetu wamepikia saana, huyo atashindwaje?Aiseee mkuu umenifanya nitabasam tu,
nakuchukulia kama wadada wapaka wanja na mvaa mawigiHa ha ha yaani wewe unavyonichokonoa, hivi wanichukuliaje lkn,
Sio mbaya we mzigua Me nakuchukulia km masharo wavaa kata k,nakuchukulia kama wadada wapaka wanja na mvaa mawigi
siku nitakayo kuwa mumeo na kukumiliki nitaomba urudi hapa na ulitamke hapa hapa kuwa mzigua ananimilikiSio mbaya we mzigua Me nakuchukulia km masharo wavaa kata k,
Otatenaneeeeee, umevurungwa Na kusitishwa misaada si bure,siku nitakayo kuwa mumeo na kukumiliki nitaomba urudi hapa na ulitamke hapa hapa kuwa mzigua ananimiliki
kusitisha misaada kunatufanya tusimame wenyewe na kupiga hatua pasipo kutegemea mtu. Na tutaomba ruzuku zifutwe tuoneOtatenaneeeeee, umevurungwa Na kusitishwa misaada si bure,
naomba uendelee kujifunza kupika maana napenda sana chakula kinachopikwa na mwanamke nimpendaeOtatenaneeeeee, umevurungwa Na kusitishwa misaada si bure,
Hivi huwezi kuendesha maisha yako nje ya CCM?kusitisha misaada kunatufanya tusimame wenyewe na kupiga hatua pasipo kutegemea mtu. Na tutaomba ruzuku zifutwe tuone
Aliyekuambia sijui kupika naninaomba uendelee kujifunza kupika maana napenda sana chakula kinachopikwa na mwanamke nimpendae
Nimehisi tu beibyAliyekuambia sijui kupika nani
kwani hapa nilipo naendesha nikiwa ndani? Karibu tupike la azizHivi huwezi kuendesha maisha yako nje ya CCM?
Nakuchukia nimekwambia hata hushtuki Ujue humu nipo binamu yangu Freeland nitakushtakiakwani hapa nilipo naendesha nikiwa ndani? Karibu tupike la aziz