habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha mimi huwa navaa sweta la mikono mirefu...ugali ukishaanza kuwa mgumu hauruki navua[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Uji wa ugali wakati unachemka huwa unaruka unauguza sana,
Mkuu kupika kunanipa wakati mgumu shauri ya kuungua ungua imefikia pahala nachukiaHa ha mimi huwa navaa sweta la mikono mirefu...ugali ukishaanza kuwa mgumu hauruki navua
unaonaje ukiajiri house girl aokoe jahazi!Mkuu kupika kunanipa wakati mgumu shauri ya kuungua ungua imefikia pahala nachukia
Siku nikikutia mikononi mwangu nadhani hutataka uniachie mpaka kifo chako.. Karibu Vibaoni Handeni mkabara na nyumba ya Marehemu Abdallah Omari Kigoda utawakuta wazazi wanguAcha upuuzi nimekwambia ni kaka wewe wawaza usodoma tu, wazigua bwana
Mkuu nilikuwa nae, kaenda kwao kusalimiaunaonaje ukiajiri house girl aokoe jahazi!
Pasaka nilikuwa huko nisharudi zangu townSiku nikikutia mikononi mwangu nadhani hutataka uniachie mpaka kifo chako.. Karibu Vibaoni Handeni mkabara na nyumba ya Marehemu Abdallah Omari Kigoda utawakuta wazazi wangu
chukua wa muda...tunaweza kumshare akawa anakuja kupika kwako akimaliza anakuja kulala kwangu!!Mkuu nilikuwa nae, kaenda kwao kusalimia
Aiseee mkuu huo utani, nitamsubir nilishamzoea binti mtaratibu Na ana adabuchukua wa muda...tunaweza kumshare akawa anakuja kupika kwako akimaliza anakuja kulala kwangu!!
Kuolewa kunahusiana vipi Na kupikaSasa wewe nani atakuoa mwanamke unaogopa kuungua wakati unapika...
njoo kigamboni basi japo nikuone tuPasaka nilikuwa huko nisharudi zangu town
hivi kumbe wewe ni dada? kwa utata wako ninaokuona nao hapa nilifikiri wewe kidume, tena wale wabishi mbayaNashukuru Mungu nimeiona nikiwa Na afya,
Taratibu basi wengine wasisikie, lkn pia hongera kwa kunifumahivi kumbe wewe ni dada? kwa utata wako ninaokuona nao hapa nilifikiri wewe kidume, tena wale wabishi mbaya
Ata hilo hujui..???Kuolewa kunahusiana vipi Na kupika
HahahaMwanaume unakaangiza kama mama ntilie wa kitanga utaungua tu...pika ugali na tembele huwezi ungua
Mwanamke lazma uipikie familia yako,Kuolewa kunahusiana vipi Na kupika