Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Usishushe sababu wengine wameshusha..., shusha kama tu bado unapata faida...,
Kama vipi achana na hio Biashara unless bado faida ipo (sababu kama kuna faida hata kama ni ndogo ni bora kuliko kutokuipata hio faida); lakini kumbuka kuweka gharama ya muda wako sababu kama unakaa unapigwa vumbi asubuhi mpaka jioni; january mpaka december kwa faida ambayo huenda ungeweza kuipata kwa kufanya kingine kwa miezi sita bora kafanye kingine.
Kama vipi achana na hio Biashara unless bado faida ipo (sababu kama kuna faida hata kama ni ndogo ni bora kuliko kutokuipata hio faida); lakini kumbuka kuweka gharama ya muda wako sababu kama unakaa unapigwa vumbi asubuhi mpaka jioni; january mpaka december kwa faida ambayo huenda ungeweza kuipata kwa kufanya kingine kwa miezi sita bora kafanye kingine.