Kila nikitizama Kikosi cha Congo DR kikiwa Kambini namuona Inonga tu, kuna aliyemwona Zengeli anitumie Picha yake?

Kila nikitizama Kikosi cha Congo DR kikiwa Kambini namuona Inonga tu, kuna aliyemwona Zengeli anitumie Picha yake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kocha wa Timu ya Taifa ya Congo DR simwelewi yaani kamuita Beki aliyekuwa Majeruhi Henock Inonga wa Simba SC inayoshiriki Kombe jipya na lenye UTAJIRI mkubwa unaoshirikisha Vilabu Bora na Vikubwa la AFRICAN FOOTBALL LEAGUE na kumuacha ( kutomuita ) Kiungo Mshambuliaji Max Zengeli wa Yanga SC anayecheza Kombe la Kawaida la NBC Premier League na lile lisilo la Thamani la CAFCL ambalo Yanga SC ina miaka 25 haijafika / haijacheza hatua ya Makundi.

Tafadhali wana Yanga SC Wenzangu nionyesheni Picha ya Mchezaji wetu Max Zengeli ambaye Kutwa tunamsifia, tunachomekea kama Yeye na tunamuimba akiwa na Timu yake ya Taifa ya Congo DR kwani nachoka sasa kila mara kuona tu Picha za Mchezaji wa Mahasimu wetu Simba SC Beki Henock Inonga akipasha na Wenzake.
 
Kocha wa Timu ya Taifa ya Congo DR simwelewi yaani kamuita Beki aliyekuwa Majeruhi Henock Inonga wa Simba SC inayoshiriki Kombe jipya na lenye UTAJIRI mkubwa unaoshirikisha Vilabu Bora na Vikubwa la AFRICAN FOOTBALL LEAGUE na kumuacha ( kutomuita ) Kiungo Mshambuliaji Max Zengeli wa Yanga SC anayecheza Kombe la Kawaida la NBC Premier League na lile lisilo la Thamani la CAFCL ambalo Yanga SC ina miaka 25 haijafika / haijacheza hatua ya Makundi.

Tafadhali wana Yanga SC Wenzangu nionyesheni Picha ya Mchezaji wetu Max Zengeli ambaye Kutwa tunamsifia, tunachomekea kama Yeye na tunamuimba akiwa na Timu yake ya Taifa ya Congo DR kwani nachoka sasa kila mara kuona tu Picha za Mchezaji wa Mahasimu wetu Simba SC Beki Henock Inonga akipasha na Wenzake.
Unajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!
 
Hilo kombe la CAFCL ambalo unasema halina thamani bingwa wake anenda moja kwa moja Fifa Club World Cup kukutana na miamba ya ulaya kama Man City ,Real Madrid ,Bayern Munich nk. hilo la bonanza CAF waliofosi kuanzisha ukishinda unaambulia pesa then unarudi kukutana na Kitayose Fc na Stand United.
 
Madunduka wanataka kuonekana saana kwa kushiliki kwenye kila sherehe za kicheni pati, ila mwisho wa siku wanakosa kila kitu na watazidi kudidimia.wawe makini tu.watu wenyewe ndio hao wazee, kila shughuri wapo unategemea nini mkuu.
 
Zengeli hatii mguu timu ya Taifa DRC..!
What matters ni je, Zengeli ana mchango na thamani gani kwa timu yake anayoichezea? That's what matters.
Kocha ndiye anayeamua ni mchezaji gani anamhitaji, na kwa ajili ya nini.
Au ulitaka mashabiki wa Congo DRC waige tabia za mashabiki wa Simba kushinikiza Phiri achezeshwe hata kama kocha hamhitaji?
 
Kocha wa Timu ya Taifa ya Congo DR simwelewi yaani kamuita Beki aliyekuwa Majeruhi Henock Inonga wa Simba SC inayoshiriki Kombe jipya na lenye UTAJIRI mkubwa unaoshirikisha Vilabu Bora na Vikubwa la AFRICAN FOOTBALL LEAGUE na kumuacha ( kutomuita ) Kiungo Mshambuliaji Max Zengeli wa Yanga SC anayecheza Kombe la Kawaida la NBC Premier League na lile lisilo la Thamani la CAFCL ambalo Yanga SC ina miaka 25 haijafika / haijacheza hatua ya Makundi.

Tafadhali wana Yanga SC Wenzangu nionyesheni Picha ya Mchezaji wetu Max Zengeli ambaye Kutwa tunamsifia, tunachomekea kama Yeye na tunamuimba akiwa na Timu yake ya Taifa ya Congo DR kwani nachoka sasa kila mara kuona tu Picha za Mchezaji wa Mahasimu wetu Simba SC Beki Henock Inonga akipasha na Wenzake.
Lofa mkubwa we
 
Unajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!
Unamaanisha nini kusema Mayele kuwa ni fungaji bora wa Africa??
 
What matters ni je, Zengeli ana mchango na thamani gani kwa timu yake anayoichezea? That's what matters.
Kocha ndiye anayeamua ni mchezaji gani anamhitaji, na kwa ajili ya nini.
Au ulitaka mashabiki wa Congo DRC waige tabia za mashabiki wa Simba kushinikiza Phiri achezeshwe hata kama kocha hamhitaji?

Umezunguka Sana, tusaidiane kunyoosha maelezo namna Hii... inamaanisha yeye Zengele ni Chaguo La pili kwa Wale First eleven...!
 
Unajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!
Mjomba!kwani SIMBA na yangu so huwa mnataniana mkuu.
 
Back
Top Bottom