Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhaaahaChungulia vizuri huenda ukamuona Fabrice Ngoma na Jini Baleke pia
Hilo kombe la CAFCL ambalo unasema halina thamani bingwa wake anenda moja kwa moja Fifa Club World Cup kukutana na miamba ya ulaya kama Man City ,Real Madrid ,Bayern Munich nk. hilo la bonanza CAF waliofosi kuanzisha ukishinda unaambulia pesa then unarudi kukutana na Kitayose Fc na Stand United.
Mkuu koloz kilichobaki ni maneno mpira hamna,ligi ilivyosimama hivi ndio wakati wao wa kuongeaUnajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!