Kila nikitizama Kikosi cha Congo DR kikiwa Kambini namuona Inonga tu, kuna aliyemwona Zengeli anitumie Picha yake?

Kila nikitizama Kikosi cha Congo DR kikiwa Kambini namuona Inonga tu, kuna aliyemwona Zengeli anitumie Picha yake?

Huyu antibiotic fake na mwenzie eti Kinjekitile fake wote wajinga wajinga tuu.Hawana lolote
Kamuulizeni kwanza yule janjajanja billioni 20 ziko wapi ????
 
Zero brain mnachukuaje majina ya maana ???
Kama ningekuwa mzazi nimewapa majina hayo ningeshawalaani tayari
 
Hilo kombe la CAFCL ambalo unasema halina thamani bingwa wake anenda moja kwa moja Fifa Club World Cup kukutana na miamba ya ulaya kama Man City ,Real Madrid ,Bayern Munich nk. hilo la bonanza CAF waliofosi kuanzisha ukishinda unaambulia pesa then unarudi kukutana na Kitayose Fc na Stand United.

1694010023613.png
 
Unajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!
Mkuu koloz kilichobaki ni maneno mpira hamna,ligi ilivyosimama hivi ndio wakati wao wa kuongea
 
Back
Top Bottom