Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho

Kwa kweli una tatizo kidogo la kisaikolojia linalokufanya ujihisi hauko sawa Kama unavyostahili, pili waweza kuwa na nyota ya mvuto, tatu waweza ukawa una mwonekano fulan ivi wa kuvutia wengi, ila kama hadi watoto wanakushangaa basi hio ni nyota ya mwonekano Kama nilivosema hapo juu, nne pengine una hali Fulani znazowaachia watu mawazo hasi vichwani mwao ndio maana wanakushangaa mfano hali ya kunuka kikwapa, jasho, mdomo, na miguu Tano acha kushangaa pia watu sita Kama una tabia ya kujichua acha haraka hupelekea vijana wengi kutojiamin Saba Kama wewe ni handsome be cool magonjwa ni meng na usijiite kuwa mziri hakuna mwanaume anayejisema kuwa ni mzur hata Kama kweli ni handsome kwasababu hizo sio tabia za kiume nane Fanya utafiti kugundua zaidi nin sabab
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…