marieclaire
Member
- Aug 11, 2015
- 16
- 12
me pia everywhere i pass mimacho najulikana kila napoenda wakizidi nami nawakodolea inaboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuda Kashara do you have big or small FROG???
Una chura????
Nipo flat sana.Nikivalia jeans sitengenezi curve ya aina yoyote.Au una KIWOWOWO[emoji2] [emoji1]
Mkuu najitahidi kufanya yote yao but mambo ni yale yale.Mfano leo asubuhi nilipanga kuonana na mtu mahali, ile namfikia ananiuliza mbona watu wanakushangaa sana? na siyo mara ya kwanza wala ya pili........ndo maana nikasema nije kuuliza humu ndani.Ilo ni wenge tuu tena kwakuwa umeshajiwekea kwamba nikipita watu wananikodolea macho watakukodolea kweli kweli..chakufanya wew kuwa busy na mishe zako hata utawaona wanaokushangaa
Kwa maekezo yako inaonekana wew ni mshangaaji wa watu saa ukikuta macho yamegongana ndo unajishtukia
Mida mingine siyo mimi ninawaona ila utakuta mtu niliyeambatana naye ananiuliza mbona yule mtu anakukodolea macho sana?mimi navojua definition ya kushangaa ni kumuangalia mtu! sasa mkuu kama utakua unawaona wanakushangaa means kwamba na wewe unawaangalia kwa iyo apo wote mnashangaana
Mimi najiuliza ni kwanini iwe hivyo..... siyo kwamba sijiamini boss.Punyeto husababisha mwanaume ashindwe kujiamini mbele za watu.
basi apo inabidi ukiona mtu anakushangaa uende ukamuulize ndio atakupa jibu sahihi otherwise here we only speculatingMida mingine siyo mimi ninawaona ila utakuta mtu niliyeambatana naye ananiuliza mbona yule mtu anakukodolea macho sana?
Umeona ee? ila mimi sijawahi kuwa na atmosphere ya kuhisi chuki au ubaya......wakinikodolea nami nawapa hi, ila najiuliza sana.me pia everywhere i pass mimacho najulikana kila napoenda wakizidi nami nawakodolea inaboa
Labda coz hata nikihamia makazi mapya inakuwa rahisi mno kupata marafiki wengi pamoja na kampani ya watu wa kada zote.Ama una uzuri flan amazing
Naoga vizuri, navaa nguo safi na zilizonyooshwa hata perfume nazotumia ni nzuri wala hazina harufu ya kusumbua wengine.uwe unaoga kabla ya safari zako
[emoji19] mtihaniUmeona ee? ila mimi sijawahi kuwa na atmosphere ya kuhisi chuki au ubaya......wakinikodolea nami nawapa hi, ila najiuliza sana.
Hili nalo nafikiria kulifanya.basi apo inabidi ukiona mtu anakushangaa uende ukamuulize ndio atakupa jibu sahihi otherwise here we only speculating
jaribu kupangilia vizuri mavazi yako huenda hayaendani na mwili wakoNaoga vizuri, navaa nguo safi na zilizonyooshwa hata perfume nazotumia ni nzuri wala hazina harufu ya kusumbua wengine.
Sjui kwanini nawaza ........ Alafu nachekaaa........[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda una kitu unique
Hata mm nimeshangaa profile picture yako ila cjui kwa nn...m
Kiasi flani nina uso wa kupigia passport.Labda we handsome