Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Look here, guy! Hauna tatizo lolote.Ni muda tu bado haujafika.Utampata mtakayependana hadi utaanzisha uzi hapa jukwaani wa kumsifu.Be patient!Hio Kali asee ...serious ili tatizo limeniaffect kisaikolojia
Mwenzenu na mwaka wa nne sasahiv ..Kila msichana ninaemfuata Mimi hajawai kunikubalia na wengine wananikataa kwa dharau Sana ....alafu wasichana ninaowafuata no wakawaida mno ...mwanzoni niliona kawaida Ila sasahiv naona Kama ni tatizo .....naomba ushauri wenu
Kweli kabisa lakini Kuna muda mm Kama kijana natamani niwe kwenye mahusiano lakini Kila nikijitahid kumfuata msichana nimpendae ndo ivo wengne dharau nyingLook here,guy!Hauna tatizo lolote.Ni muda tu bado haujafika.Utampata mtakayependana hadi utaanzisha uzi hapa jukwaani wa kumsifu.Be patient!
Nmepita mtaani nimekuta, kibao cha tangazo kwenye Kuta ,
Eti kuongeza Mvuto wa kimapenzi.[emoji23][emoji23]
Hebu jaribu hao labda, au huko kwenu hamna watu wa hizo mambo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu iko hapaTatzo Imani yangu ipo kwa MUNGU na nafanya maombi kuvunja roho za maagano juu yangu
Sasahapo nafanyaje ili kutatua hili tatzo maana sasahiv limekua tatizo kwangu....lakini hapo nyuma mambo yalikua Safi ili limeanza 2017Itakuwa mizimu ya kwenu haitaki ufurahie maisha
Ulishawahi kuwa na jazba au umelia sanaaa..ukapewa maji,sasa ile hali unayojisikia baada ya kunywa maji ndio ninayoimaanisha ChiefMaji ni dawa au
Kivip naomba unielimisheSababu iko hapa
Ni kweli na sahihi.Lakini,kuwa mpole muheshimiwa.Si muda sana utampata mtu wako mzuuuriii.Na amini utafurahi sana.Hao wengine siyo uliochaguliwa na Mungu.Subira ni muhimu sana mkuu wangu.Kweli kabisa lakini Kuna muda mm Kama kijana natamani niwe kwenye mahusiano lakini Kila nikijitahid kumfuata msichana nimpendae ndo ivo wengne dharau nying
Kama maji nishakunywa sana...muda mwingne nakubali situation lakini muda mwingne mm Kama kijana nahitak kuwa kwenye mahusianoUlishawahi kuwa na jazba au umelia sanaaa..ukapewa maji,sasa ile hali unayojisikia baada ya kunywa maji ndio ninayoimaanisha Chief
Sawa hapo nimekuelewa vizur kabisa na naomba iwe ivoNi kweli na sahihi.Lakini,kuwa mpole muheshimiwa.Si muda sana utampata mtu wako mzuuuriii.Na amini utafurahi sana.Hao wengine siyo uliochaguliwa na Mungu.Subira ni muhimu sana mkuu wangu.
Inawezekana wewe mwenyewe ukawa ndo tatizoKama maji nishakunywa sana...muda mwingne nakubali situation lakini muda mwingne mm Kama kijana nahitak kuwa kwenye mahusiano
Kivip naomba ufafanuzi kidogoInawezekana wewe mwenyewe ukawa ndo tatizo
Pikipiki na gar natumia Sana ...but na mwaka Sasa niliokataa tamaa ya kumuapproach msichana yoyoteVip unamiliki hata gari au pikipiki ?
Madem mbona wapo kibaoo ,kama upo DSM tafuta uswaz ,ukishawapa chips kuku tayari
Hao hawamfai.He needs some goooood, good girl for marriage!Vip unamiliki hata gari au pikipiki ?
Madem mbona wapo kibaoo ,kama upo DSM tafuta uswaz ,ukishawapa chips kuku tayari
Exactly mkuuHao hawamfai.He needs some goooood, good girl for marriage!
Chakori kumbe tukiwa na pesa mta tuheshimu mta acha kutuchoma na petrol.Haya kunywa maji kwanza
Tafuta pesa ndugu yangu.wanawake wengi tuna dharau.
😳😳 Muda wa kijitafakari wewe mwenyewe.mwenendo wako.Kivip naomba ufafanuzi kidogo