Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

Tuko pamoja Chief 🥂
 
Mshukuru MUNGU,hapo anakuepusha na majanga.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] utakuwa dume ww dah ni nadra sana mwanamke kutukana hili tusi
Jf inawatumiaji wengi wanaume sasa mwanamke kushinda kwenye kundi kubwa la wanaume pengine kaadapt tabia zetu huwa inatokea na namna tunavyopost hapa jukwaan
 
mkuuuu mimi mpaka nakataaa appointment ww.unahangaika tafazr nicheki in box upate papuchi kama upo dar Classic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…