Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,195
Nimo Insta..

WhatsApp nagrup km 100 af zote nipo active..

Ni team wasafi kufa kuozaaa..

Sasa sijui warembo wanayumba wap tu..
FB_IMG_1574523389432.jpeg
 
Mmoja wapo kwenye hiyo picha ni wewe?
Kama ni kweli, sio kweli warembo wanayumba, bali wewe ndio unayumba.

Jaribu Ku man up, kuwa nadhifu pia. Piga picha kistaarabu za kiheshima, left hayo magroup 100 bakiza mawili ya muhimu.
Acha kujiita "team wasafi", Fanya kazi.
 
wanakuchukulia poa coz unaishi kike kike, hebu jaribu kuishi kiume uone kama watayumba...
nb:usisahau kuleta mrejesho utakapoanza kuishi kiume
 
Wanameona ni dada mwenziwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima wakimbie sijui ni yupi kati ya hao ila ww ni
mvulana,
Bishoo,
Nywele ina dawa,
Mmelegea ona vimikono,
Camera 360 filter juu,
Mengine wataongezea wakija
 
(Ku man up=kuman up)
Mmoja wapo kwenye hiyo picha ni wewe?
Kama ni kweli, sio kweli warembo wanayumba, bali wewe ndio unayumba.

Jaribu Ku man up, kuwa nadhifu pia. Piga picha kistaarabu za kiheshima, left hayo magroup 100 bakiza mawili ya muhimu.
Acha kujiita "team wasafi", Fanya kazi.
 
Tupo vizur madam.. Na bakora tunatembeza fresh tu..
Mmoja wapo kwenye hiyo picha ni wewe?
Kama ni kweli, sio kweli warembo wanayumba, bali wewe ndio unayumba.

Jaribu Ku man up, kuwa nadhifu pia. Piga picha kistaarabu za kiheshima, left hayo magroup 100 bakiza mawili ya muhimu.
Acha kujiita "team wasafi", Fanya kazi.
 
Back
Top Bottom