Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Taarifa tunazosima zinaonyesha ndani ya miaka mitano tu Magufuli amekopa karibu sawa na mikopo aliyochukua Kikwete kwa miaka yote Kumi aliyokuwa madarakani.
Ukiacha Kikwete, kuna Mkapa, Mwinyi na Nyerere na hawa nao walikopa na kuna wakati walifanya juhudi tusamehewe madeni
Sasa najiuliza, kama na hawa maraisi waliopita wangekopa kwa speed ya Magufuli na kutofanya juhudi za sisi kusamehewa madeni, nchi hii leo hii ingekuwa inakopesheka?
Kama nchi ingekuwa haikopesheki, Magufuli angekopa wapi?
Na je, mikopo aliyochukua Magufuli, haipunguzi wigo wa kukopa kwa maraisi wataomfuatia hasa Mama Samia?
Mama Samia nae akiamua kukopa kama Magufuli ili afanye mambo mengi makubwa ndani ya muda mfupi, mzigo wa madeni nchi hii utakuwaje?
Majibu nawaachia wenyewe., leo naenda kuosha vyombo mwenyewe.
Ukiacha Kikwete, kuna Mkapa, Mwinyi na Nyerere na hawa nao walikopa na kuna wakati walifanya juhudi tusamehewe madeni
Sasa najiuliza, kama na hawa maraisi waliopita wangekopa kwa speed ya Magufuli na kutofanya juhudi za sisi kusamehewa madeni, nchi hii leo hii ingekuwa inakopesheka?
Kama nchi ingekuwa haikopesheki, Magufuli angekopa wapi?
Na je, mikopo aliyochukua Magufuli, haipunguzi wigo wa kukopa kwa maraisi wataomfuatia hasa Mama Samia?
Mama Samia nae akiamua kukopa kama Magufuli ili afanye mambo mengi makubwa ndani ya muda mfupi, mzigo wa madeni nchi hii utakuwaje?
Majibu nawaachia wenyewe., leo naenda kuosha vyombo mwenyewe.