Kila siku anahitaji Penzi jipya imekaaje hii

Teh hehe BHT!
Hii theory ya " you dont use it you loose it" inafaa tu pale uko kwenye pingu au husiano rasmi..siyo ukiwa huria kama huyu mdada!

aaaah sisteri mbon aunaanza kuweka mipaka sasa.........usikute binti ndo anaitumia mwenyewe anajionea akhaaaaaaaa kisije kika perish bure, lemme make a gud use of it lol!!!

Aki lakini naona kama huyu binti ana tatizo.......au ndo wale wanaotaka malaika washuke toka mawinguni with total perfection???
 
Mods rudisheni kitufe mi nitende lili jema bana
 

yeye naye ... watu wakimchambua anafit kwenye kundi lipi hadi atake malaika?
Most probably atakutana na shetani bilausi mwenyewe!
 


nADHANI MAOMBI YATAMSAIDIA SANA ,MAANA NAONA ANA PEPO
 
yeye naye ... watu wakimchambua anafit kwenye kundi lipi hadi atake malaika?
Most probably atakutana na shetani bilausi mwenyewe!

xactly.... eeeeh shetani bilausi mweh!!!!

huyo ndo shetani kiongozi eeh???
 
wanaume wa kiswahili wengi hawako romantic............na hata akiwa romantic labda kwa siku za mwanzo.....zikimaliza hizo bibie anakitoa manake anakuwa amejichokea maisha monotone, kila siku namna ile ile, mtindo ule ule, marafiki wale wale, mitoko ile ile.

akipata cha kuridhika nacho kwenye relationship ambacho ni zaidi ya yule mwanamme nafiri anaeweza kuwa amejisadia.
 
Hivi biggy una uhakika kuwa yangu haitumiki??? (swali kwa swali)
Nimeshakipata nilichokuwa nakitafuta..... haya tuendelee na sredi. Ushachukua fomu ya udiwani?
 


Yawezekana ni "Casta Semenya" huyo au "lesibian" of lowest degree!
 
hahaaaa read behind the lines Roy!!!!! wats wrong witch u huh???
Nothing wrong....ila kuwa sober ni usumbufu....i can't see the lines, let alone read behind/in between them!
 
huyo bado sana!mwacheni aendelee ku-wanga huku na kule!....

pole yake atakaemuoa maanake atakuta hadi ile theory ya ELASTICITY imeshakuwa ''nullified''!atakutana na bwawa sijui kisima ai doo noo

huyu dada atakuwa sio mzima kiakili ..
 

heheheheheh!! romantic love! Jamani hizo ni ndoto za kusadikika.Kwanza hata yeye mwenyewe hiyo nguvu na muda wa kubakia kwenye romantic mode miaka atatoa wapi? mwambieni come back to earth!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…