Kila siku jioni ikifika nakwenda kushuhia hii kitu baridii, maalumu kwa kanda yetu

Uzi tayari.

Balimi mbele ya Bia Bingwa ni chamtoto.

Balimi 5.8% alc wakati Bingwa 7% alc.
 
Wengine sisi wa value tunaweka wapi sifa zake?
 
Mkuu inakuwaje watu wakiwa wanatumia balimi wanaondoa lebo, ina maana wanainyanyapaa bia ya wakulima....
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku njoooniii huku

Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku njoooniii huku

Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
Wehu huu
 
We ni mpuuzi au fala?
Acha kupaniki jamvini hapa,stick kwenye context..si nimeuliza tu kuwa buku saba ni balimi ngapi ili niitafute fasta nipooze koo??..Matusi ya nini?
 
Hizo bia Lau Masha katusambazia sana upendo enzi hizo Mwanza ,huyu kada sijui kapotelea wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…