pacha hii dunia ina mambo kakaangu!kuna story falni hivi kuna mama alituhadithia ofisini ilinifanya nitafakari kweli kweli kuhusu kitu kinaitwa ridhiko la kimapenzi kwa mwanadamu!huyo baba alikuwa ana mahusiano na house girl,mke wake ni bomba ile mbaya,then anafanya yale yote unajua mwanaume anataka afanyiwe pacha!yet yule mume alikuwa anatoka na huyo binti wa kazi,mkewe alipokuja akugundua akamuuliza mumewe nini sababu,kama ni kupika nakupikia,natunza nyumba,nafanya miradi,tunasali pamoja,nakuhudumia kila aina ya mapenzi na kama ni usafi ndo usiseme kuanzia nyumba mpaka mwili,mwanaume akadakia mke wangu hapo hapo kwenye usafi,ur too neat!too neat!wakati mwingine nakuwa nna hamu na zenye harufu ka ya fenesi!