Kila siku naota nimeokota gunia la pesa

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Wakuu tangu wiki iliyopita kila nikilala usiku naota nimeokota gunia la pesa, ila nikishtuka najikuta nimekumbatia pilow.

Je hizi ndoto zina maana gani?
 
mkuu simoa naomba sala zako ziwe kweli
 
Uwe unarudi usingizini ili uanze kuhesabu pesa iliyo ndani ya gunia.
 
MUSSA ALAN mkuu napokua usingizini, mikumi ntapita kesho na boxer
 
mawazo ya kimaskini tu ndiyo yanayokusumbua ila chunga maana kuna watu tabia zao sio nzur
 
utakufa masikini mkuu Trust me.muhulize mishana jr


swissme
 
Na ndio maana hutazipata hizo pesa maana unaishia kuziota tu na kurudia kuota na kuota tena. Mwisho ndoto zitakoma na utabaki kama ulivyokuwa.Inuka mkuu uzisake pesa kabla hizo ndoto hazijadakwa na mtu mwingine anayejua kuchakarika.
 
Ndo matatizo ya kumfikiria Chibu Dangote kila wakati hayo matokeo unaota kuvipata alivyo navyo yeye!!!
 
Wakati unaelekea MIKUMI au?


MUSSA HUYU DOGO K 4 LIFE NI ASIEMJUA TU ATAHANGAIKA KUCOMMENT, KILA SIKU MIKUMI NA VISTORI VYAKE KITOTO! UMEMJIBU VIZURI, K 4 LIFU HAYA MUDA WA KWENDA SHULE UMEWADIA.
 
chibe mkuu, hivi chibu dangote ndio nanii?
 
Ongeza juhudi ktk kazi usiamini ndoto ndio utapata utajiri bila kazi utajuta maishani mwako kwa kusadiki ndoto bila kujituma kazini utajiri utausikia na kuona kwa wenzio tu.ndoto njema
 
Wakuu tangu wiki iliyopita kila nikilala usiku naota nimeokota gunia la pesa, ila nikishtuka najikuta nimekumbatia pilow.

Je hizi ndoto zina maana gani?
Amka uende Shule utachelewa bure kwa kukaa unawaza ndoto ulizoota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…