Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
- Thread starter
- #21
mkuuu ww sio gentlomem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuuu ww sio gentlomem
Ningekuwa gentleman ingekuwaje? Fafanua mkuumkuuu ww sio gentlomem
Kivipi mkuu? Na ni nani anaiba?Aiseee..... Kuna watu wanajua kuiba
Nini cha kufanya sasa mkuu ili asiwe ananiambia maneno kama hayo ilhali ananidanganya?Akikuambia siri zake akiwa kwenye akili zake timamu huo ni uaminifu na mapenzi...
Akikuambia siri zake pindi ashalewa ny.ege huo ni udanganyifu...
Mzibe mdomo... tandika makofi...Nini cha kufanya sasa mkuu ili asiwe ananiambia maneno kama hayo ilhali ananidanganya?
Yawezekana ikawa ukweli lakini hali halisi ndo hivyo ilivyo mkuu. Naomba utoe ushauri kuhusu hili nililolileta hapa jamvini.Mtiririko wa mada za mahusiano humu jamvini inaonyesha kuwa vijana wa kiume wa nyakati hizi upeo wao kufikiria na kuchanganua mambo uko chini sana.....
Ni dhahiri kuna tatizo mahali kwenye akili za vijana....maana muda mwingine tatizo analokuja nalo kuomba ushauri mpaka unajiuli kuwa mtu huyu kwa akili hizi aliwezaje kuingia kwenye ndoa achilia mbali kwenye mahusiano........
Ndio maana migogoro ya ndoa na mahusiano imekuwa mingi sana kwa kuwa vijana wengi wamepoteza uwezo wa kiakili wa kutatua hata changamoto ndogo zinazohitaji matumizi madogo ya akili.......
Tujisahihishe......
Uyo binti ni msoma gap mzee makinika mzee
Msoma gap kivipi mkuu? Au wap kuna gap labda? Fafanua tafadhaliUyo binti ni msoma gap mzee makinika mzee
Apo anachota akili yako kutafuta point of weakness kwako ndo gap lenyewe iloMsoma gap kivipi mkuu? Au wap kuna gap labda? Fafanua tafadhali
Nini cha kufanya hapo mkuu ili asinisome akili yangu?Apo anachota akili yako kutafuta point of weakness kwako ndo gap lenyewe ilo
We mpeleke motoNini cha kufanya hapo mkuu ili asinisome akili yangu?
Baada ya hapo.....?Akili ni moja tu, akiongea wewe usimjibu hata neno moja (mkaushie aropoke mbaka achoke).
Usubiri reaction kutoka kwakeBaada ya hapo.....?
muweke ugoro kama una roho mbayaBaada ya hapo.....?
Hahaamuweke ugoro kama una roho mbaya
HIYO NI ADHABU KALI SANA, ATATESEKA HATA AKIOLEWAHahaa