Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #481
Zantel kwa moro hata 3G hawana na hao smart hata ofisi hawana mpaka ukutane nao kama zali. Wanakera sana.
mkuu Watu8 naomba nitengenezee hii hapa niingize kwenye kodiMkuu ni rahisi tu...
Unaweza kutazama/kustream tv yoyote kwa kupitia Kodi maadamu uwe na url path sahihi ya mahali server ilipo ya content uitakayo...
Binafsi nishaweka Azam 2 na Star TV muda kidogo na huwa nazitazama inapobidi...
Hiyo link uliyoiweka hapo juu inabidi kuiedit kidogo ili uweze kutazama Azam 2
Ili uweze kustream lazima link yako iwe katika mojawapo ya format zifuatazo.
http://host/path/stream
au
mms://host/path/stream
au
rstp://host/path/stream
1. Step ya kwanza:
Tengeneza text file ambayo ndani yake utaweka hii link hapa chini na uisave kwa extention ya .strm (nakushauri tumia notepad++).
Lipe jina lolote mathalani Azam Two.strm na lihifadhi mahali katika folder mathalani C:\Azamtv
rstp://196.41.40.253:1935/live/myStream/
2. Step ya pili:
Fungua XBMC/Kodi na katika main menu bofya VIDEOS, then bofya Files na tena bofya Add Videos
3. Step ya tatu:
Itatokea dialog box kwa ajili ya kuingiza directory ya lile file ulilolisave katika Step ya kwanza.
Katika sehemu iliyoandikwa , bofya hapo na kuandika directory ya mahali ulipohifadhi lile file la Azam.strm
Mfano: C\:Azamtv\ (Azamtv ni folder ambalo ndani yake ndio kuna Azam.strm) tafadhali kwepa kuandika C:\Azamtv\Azam.strm
4. Step ya nne:
Bonyeza OK, then bonyeza OK na hapo file la Azam.strm litaonekana limekuwa added katika playlist.
Ukilifungua AzamTwo itaoneka kama una connection ya internet isiyo na shaka
Mwisho
Nataka unifanyie hiki k2 kwa kwenye cm yangu ya LG sijui itawezekani nina kiasi flan mkonon cha kukutoa
tafuta mtaalamu yoyote mtaani kwako ataweza, mimi naishi mbali sana.
Sidhani kama utapata msaada kwa toleo hilo la nyuma,Bora uiuze au uigawe then ununue simu nyingine kubwaMkuu nina Samsung Ace 5830i ni android gingerbread kuupgrade nishida.
Niliweka Cust ROM ya jerry bean nimeshindwa install kodi pia hata lazy iptv na mabdro zinadai hadi simu iwe android 4.2 kupanda juu.
Nilikuwa namba mnisaidie jinsi ya kuplay m3u file maana mxplayer haikubali hadi niweke link manually.
Mnisaidie maana siyo rahisi kuzikariri link za online tv zote CC: Chief-Mkwawa , [MENTION=21744]Watu8[/METION] [MENTION=97171]Njunwa Wamavoko[ /MENTION]
tafuta mtaalamu yoyote mtaani kwako ataweza, mimi naishi mbali sana.
<a href="http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp" data-cke-saved-href="http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp">http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp<br><br><br></a><a href="http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8" data-cke-saved-href="http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8">http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8</a>
Mkuu, mi bado nipo symbian na Nokia N80, vp naweza kupata hii huduma?
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa int
Mkuu kwa kutumia hii kitu ni vipi naweza kupata add on yenye channel za kibongo kama Azam 2. Nasikia sijui unaweka link kwenye file la zip. Nipe muongozo mkuu
<a href="http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp" data-cke-saved-href="http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp">http://rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp<br><br><br></a><a href="http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8" data-cke-saved-href="http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8">http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8</a>
Maelezo kidogo mkuuu kuhusu hiii link