sikumbuki vizuri ila dogo flani hivi wakishua ana uncle yake yupo nje huko ndo anamtumiaga addons kweny email...hazisumbuagi hizo addons
mwisho kama unaweza cheza na iptvstalker utakua umemalza mchezo wote.
IPTV Stalker ilishakua ya Kulipia unaitaji MAC ADRESS uweze kuitumiaNiliwahi jaribu kuinstall hio stalker. Hebu nielezee kidogo ili nami nimalize huo mchezo mkuu.
Tafadhali.
Suluhisho ni kuweka app ya streamDream then utakuwa unaingiza link na kuplay.
StreamDream inacheza m3u file fresh tu ila tatizo no hizo simu ukiweka hill file kwenye SD card inajiscan kulifuta hill file.
So ni kuweka link na kuplay hakuna namna
View attachment 296539
Samahani mkuu Chief-Mkwawa
Natumia Huawei Y 530 nifanye je ili niweze kupata hii huduma ya TV Online kwenye simu yangu.
Natanguliza shukrani
hio hapo
mkuu mi nine download hiyo zip Mara ikatokea ujumbe wa dismis. msaada mkuu. Nina kodi na Simu yangu ni tecno m3
ulivyodownload hilo zip ukalifanya nini hadi ukaja huo ujumbe
Chief-Mkwawa thanx nimeweza kuangalia hizi tv ulizoziweka humu but sijapata tv za africa mashariki plzzz msaada wa tv za kibongo.hio hapo
mkuu nilipogusa tu hiyo link hapo ikadownload hiyo file kisha ukatokea ujumbe ujumbe dismis hivyo kulifungua nimeshindwa
Chief-Mkwawa thanx nimeweza kuangalia hizi tv ulizoziweka humu but sijapata tv za africa mashariki plzzz msaada wa tv za kibongo.
kaka zimeshatengenezwa post za nyuma, wait nikipata nafasi nitazikusanya tena
vipi naweza kuipata azam two