Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

mkuu naomba msaada jinsi ya kudownload/ku install hiyo kodi kwenye smart phone maana sioni kwenye maelezo ya hiyo link

smartphone gani? kama ni android ipo kwenye link nlioeka ya kudownload
 
Ingia google seach sportdevil maelezo yote utapata huko
 
Hapana mi natumia hiyo sportdevil kwanza soma maelekezo jinsi ya kuiweka halafu idownload
 
Download the following Zip file:
plugin.SportsDevil.zip .
2. Enter XBMC and go to: System >>
Settings >> Add-ons >> Install from zip file , navigate into the folder where you?ve downloaded the zip (through the right pane menu) and select it to install.
3. Next, go into Install from repository
(on Kodi versions lower than 15 its: Get Add-ons ) >> SportsDevil repository >>
Video Add-ons , click to enable
SportsDevil .
That?s it, this repository will supply you with the latest SportsDevil version, so all the latest features will always be at your disposal.
Install SportsDevil Repository (works on all devices
 
Hii vidubt25 haifanyi kazi hata ukifuata maelekezo yote mpaka mwisho uninstall kwenye kufungua zile channels ndio inapogoma kuzifungua kama kuna maelekezo mengine ninayaomba
 
Hii vidubt25 haifanyi kazi hata ukifuata maelekezo yote mpaka mwisho uninstall kwenye kufungua zile channels ndio inapogoma kuzifungua kama kuna maelekezo mengine ninayaomba

vdubt25 ni addon moja kwenye maelfu ya addon usihangaike nayo download phoenix, devilsport, na nyenginezo ukigoogle utazipata kibao.

hii hapa phoenix ikiwa kama zip, nenda install from zip halafu chagua mahala ulipolieka file baada ya kulidownload kwenye hii site

Phoenix Addon for XBMC & Kodi
 
chief hebu nisaidie kidogo,
natumia laptop, ila kodi inatetemeka ile mbaya kiasi kwamba hata siwezi ona chochote.
nimejaribu kuinstall upya bado tatizo linaendelea.
wapi nirekebishe? kodi niliyoinstall ni latest vasion.
 
vdubt25 ni addon moja kwenye maelfu ya addon usihangaike nayo download phoenix, devilsport, na nyenginezo ukigoogle utazipata kibao.

hii hapa phoenix ikiwa kama zip, nenda install from zip halafu chagua mahala ulipolieka file baada ya kulidownload kwenye hii site

Phoenix Addon for XBMC & Kodi

mkuu nina computer moniter nataka kuitumia kama TV kwenye kisimbuzi au deki ya dvd so kuna kifaa cha kuweza kubadilisha vdeo kutoka VGA TO S VIDEO kama kipo kinauzwa sh ngapi na bongo vnapatikana
 
chief hebu nisaidie kidogo,
natumia laptop, ila kodi inatetemeka ile mbaya kiasi kwamba hata siwezi ona chochote.
nimejaribu kuinstall upya bado tatizo linaendelea.
wapi nirekebishe? kodi niliyoinstall ni latest vasion.

Inawezekana ikawa speed ni ndogo, hebu ingia speedtest.net halafu pima speed yako halafu niambie ping yako ni ms ngapi na download speed ni mbps ngap.
 
Chief-Mkwawa nataman sana nipate hizi channel za supersport, mwongozo tafadhal nazipata kwa addon gan ambazo hizi channel ziko active
 
Last edited by a moderator:
vdubt25 ni addon moja kwenye maelfu ya addon usihangaike nayo download phoenix, devilsport, na nyenginezo ukigoogle utazipata kibao.

hii hapa phoenix ikiwa kama zip, nenda install from zip halafu chagua mahala ulipolieka file baada ya kulidownload kwenye hii site

Phoenix Addon for XBMC & Kodi

chief nilkuwa naomba unsaidie hil tatzo unakuta station zngne znaonesha vzur tu ila zngne ukiclick znaonesha kuload halaf kmya hazioneash kmya
 
vdubt25 ni addon moja kwenye maelfu ya addon usihangaike nayo download phoenix, devilsport, na nyenginezo ukigoogle utazipata kibao.

hii hapa phoenix ikiwa kama zip, nenda install from zip halafu chagua mahala ulipolieka file baada ya kulidownload kwenye hii site

Phoenix Addon for XBMC & Kodi

yan inaandika working inazunguka halaf kmya ila zingne furesh tu tatzo n nn naomba nasaidie ndugu
 
yan inaandika working inazunguka halaf kmya ila zingne furesh tu tatzo n nn naomba nasaidie ndugu

Tatizo ni upande wa vdubt25 hivyo sisi hatuwezi fanya kitu mpaka developer wake arekebishe au atoe update
 
Hii kitu iko poa sana

Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-

1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C

Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi

Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni

1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams

Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri

Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth

Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event

oDHsWy.jpg



Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu

N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile https://www.youtube.com/watch?v=eFwraw8JYho

Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna

8oMZ0N.png

Hii topic nzuri sana
 
Back
Top Bottom