Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

imekubari kaka ahsante sana,, hapa naangalia star tv na azam tv.

Karibu tena kaka...

nasikia pia clouds tv wanapatikana ni kweli??
kama naweza kuwapata , nitumie njia gani?
thanx

Naam Clouds TVinapatikana kwa njia ya web (web ya Tanzania box na Clouds wenyewe)...

Binafsi nimehangaika sana kuweza kuidukua IP source hadi sasa sijaweza...

Jamaa ambao wanahost hiyo server wanazificha sana IP za clients wao...

Siku nikiweza nitaweka hapa...
 
Shukrani sana wakubwa jana nime enjoy match ya leicester city na man u dakika 90 bila kukatakata
 
#chief mkwawa# mimi nimeshadownload kodi na kuenable watchmojo. ila tv na movies haiplay kabisa, tatizo nini? msaada tafadhali. kama vp nisms 0714-408238 ili nikupigie tuelimishane. thanks in advance.
 
Hivi hakuna plugin ya kuangalia chanel za wakubwa jamani?? Maana za ball kwangu zimetosha
SPORTS DEVIL NA MONEYSPORTS
 

Attachments

  • WP_20151129_001[2].jpg
    236.5 KB · Views: 201
  • WP_20151129_002[1].jpg
    215.5 KB · Views: 198
  • WP_20151129_005[1].jpg
    231.5 KB · Views: 195
Last edited by a moderator:
Hiyo ina maana zifuatazo

1.The link you're trying to open is dead...(Haitafunguka kamwe hadi aliyeiweka aifanyie update)

2. Kuna shida ya connectivity/internet...(Jaribu kuweka sawa internet yako kama tatizo ni internet au jaribu kufungua tena na tena kama tatizo lipo kwa connectivity)

Chief-Mkwawa inanipa hizi error kwenye channel za mpira
 
Last edited by a moderator:
mi napata error hii
one or more item failed to play check the log for information about this message nafanyeje hapo wakuu msaada
 
Hiyo ina maana zifuatazo

1.The link you're trying to open is dead...(Htizo ni internet au jaribu kufungua tena na tena kama tatizo lipo kwa connectivity)
solution ni nini mkuu nataka hizo sport channel?, internet iko poa sana mbona.
 
solution ni nini mkuu nataka hizo sport channel?, internet iko poa sana mbona.

Kuwa na addon zaidi ya moja...

Kama channel fulani ikigoma katika addon fulani, basi unaitafuta katika addon nyingine...

Sportsdevil, UK Turks, Phoenix, Vdubt25 ZemTV, NJM Soccer, Pears, MoneySports na nyingine nyingi unapata links za michezo...
 
Hivi hakuna plugin ya kuangalia chanel za wakubwa jamani?? Maana za ball kwangu zimetosha
SPORTS DEVIL NA MONEYSPORTS

ipo inaitwa fusion nenda jukwaa la wakubwa utakuta kuna thread imeandikwa IPTV channel za wakubwa
 
Kuwa na addon zaidi ya moja...

Kama channel fulani ikigoma katika addon fulani, basi unaitafuta katika addon nyingine...

Sportsdevil, UK Turks, Phonex, Vdubt25 ZemTV, NJM Soccer, Pears, MoneySports na nyingine nyingi unapata links za michezo...
Nimeka ZemTV mambo poa! Thanks
 
Karibu tena mkuu...

Mkuu nimejaribu kufanya Installation ya KODI na napata channels zote...tatizo inastack sana... jani baada ya dakika tatu inastack then inaacha kutoa sauti...natumia mtandao wa Voda na unasoma 3G..
tatizo labda litakua nini?
 
Mkuu nimejaribu kufanya Installation ya KODI na napata channels zote...tatizo inastack sana... jani baada ya dakika tatu inastack then inaacha kutoa sauti...natumia mtandao wa Voda na unasoma 3G..
tatizo labda litakua nini?
Kuna addon kama cCloud ina Channels mbili za TRACE ila hata uwe kwenye 4G kitu ina buffer kila dakika moja!

Nachoshauri pendelea Channel za SD na sio HD
Pia kuna addon ziko smooth kama ni mfatiliaji wa hii thread zimetajwa
 
Mkuu ishu ya buffering ina pande nyingi...

Unaweza ukawa na internet nzuri tu na bado kukawa na kukwama kwama...

Kuna addons zinapendwa sana na watu hivyo kunakuwa na congestion kubwa...

Inawezekana unataka kustream channels ambazo ni HD na uwezo wa internet yako ni mdogo...

Kuna addons nyingine kama alivyotaja mdau hapo juu zina shida ya connectivity hata uwe na internet nzuri vipi...

Nakushauri uwe na addon zaidi ya moja na kabla hujaiweka kwa Kodi uwe unatazama na kusoma reviews...

Mkuu nimejaribu kufanya Installation ya KODI na napata channels zote...tatizo inastack sana... jani baada ya dakika tatu inastack then inaacha kutoa sauti...natumia mtandao wa Voda na unasoma 3G..
tatizo labda litakua nini?
 
Kuna addon kama cCloud ina Channels mbili za TRACE ila hata uwe kwenye 4G kitu ina buffer kila dakika moja!

Nachoshauri pendelea Channel za SD na sio HD
Pia kuna addon ziko smooth kama ni mfatiliaji wa hii thread zimetajwa

Tukumbushe tu mkuu
 

shukrani mkuu....nikumbushe add-ons nzuri moja tu.. mie shida yangu ni mpira tu...mengine sitaki
 
shukrani mkuu....nikumbushe add-ons nzuri moja tu.. mie shida yangu ni mpira tu...mengine sitaki

Sportsdevil, UK Turks, Phoenix, Vdubt25 ZemTV, NJM Soccer, Pears, MoneySports na nyingine nyingi unapata links za michezo...
 
Sportsdevil, UK Turks, Phoenix, Vdubt25 ZemTV, NJM Soccer, Pears, MoneySports na nyingine nyingi unapata links za michezo...
Zote hapo kiboko yao zem tv mi nimecheki game tatu jana na leo hakuna buffering hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…