Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)


fuata maelezo ya hatua no. 4 Justine_Dannie
 
Last edited by a moderator:
Jaman msaada nimebadili simu.sasa hii niliyonayo inagoma kupokea app ya kodi natumia tecno p9 phatom pad min
 
Mbona mi sipati! Haya mambo! Kwenye Samsung Galaxy Note II (GT- N7100)
 
Du yan mi naishia njian naona kama ngum sana ku install
 
Leo nimepata burudani ya ajabu,hakuna scrach wala bufferjng! BT 1. stoke city,arsenal zote nimeangalia kwa desk top!
 
Mtaalam samahani sana kwa usumbufu mimi ninali
Receive ya qsat 11 ninataka kutumia huduma ya iptv internet je mtalaam nifanyeje? Naomba messes wako
 
Watu8,Chief-Mkwawa azam2 addon imegoma kila nikiifungua inanipa message ifuatayo!!"one or more items failed to play.Check the log for more information about this message"!!
 
mbona nimeona kama kwenye picha apojuu kuna kama option ya movie library / BOX OFFICE kwenye iyo kodi inamaana kuna library ya movie mbali mbali na nimpya?
 
mbona nimeona kama kwenye picha apojuu kuna kama option ya movie library / BOX OFFICE kwenye iyo kodi inamaana kuna library ya movie mbali mbali na nimpya?

Yap ukieka addons husika utapata.

Mfano phoenix unapata movie/series mpya
 
Wadau nimeweka hii plexus kwenye kodi sasa inanielekeza sehemu za kujaza-play acestream hash/torrent URL,loard local torrent file,play sopacast ID,play sopacast URL naomba msaada wenu jinsi ya kujaza maeneo hayo.
 
Asubuhi na MTV... Imekuwa one of My Fav channel kwemye list ya channels zangu.... Hii thread imekuwa na msaada sana kwangu.. thanks a lot Watu8 Chief-Mkwawa
 

Attachments

  • 1449893317585.jpg
    25.7 KB · Views: 195
  • 1449893328775.jpg
    24.7 KB · Views: 197
Last edited by a moderator:
Pasi na shukrani mkuu...Kodi ina mambo mazuri sana na utaipenda zaidi ukiwa na internet nzuri...

Asubuhi na MTV... Imekuwa one of My Fav channel kwemye list ya channels zangu.... Hii thread imekuwa na msaada sana kwangu.. thanks a lot Watu8 Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Azam 2 streaming server yao i think ipo down kwa sasa maana hata katika official webpage yao wapo offline...

Kama wakirudi au wakifanya changes zozote tutaambiana hapa hapa...

Mkuu imegoma kabisa kufunguka hiyo azam 2.sijui tatizo nini??

Watu8,Chief-Mkwawa azam2 addon imegoma kila nikiifungua inanipa message ifuatayo!!"one or more items failed to play.Check the log for more information about this message"!!

Ata mimi hivi hivi
cc #watu8 #chief-mkwawa.
 
Azam 2 streaming server yao i think ipo down kwa sasa maana hata katika official webpage yao wapo offline...

Kama wakirudi au wakifanya changes zozote tutaambiana hapa hapa...

Aksante kiongozi
 
Post yangu ya Mwisho niliwashauri watu watumie IPTV stalker Clone ambazo zina Premium streaming URL
Jamaa wameona hizi Clone zinawaumiza sababu watu wanaweza ku guess MAC adress ambayo ndo authentication scheme wanayotumia pia mtu anaweza nunua MAC adress moja aka share na wngine kupitia hizi Clone addons

Administrator wa IPTV stalker amesema wataanza kui Employ Username na Password (I dont think itawasaidia)

Kwa sasa hawatatoa tena support kwa IPTV stalker bali wataanza kutumia Stalker Client NFPS Ambayo inakupa electronic Program guide(EPG) kwa kila channel unayoitaka iwe ya kiingereza au lugha nyingine.
Hii inasaidia kujua Kinachoendelea Kila channel mfano unaweza ku set EAST AFRICAN TIME(EAT) Zone Then unajua kwamba mda huu saa moja jioni kuna kipindi fulani kinaendelea channel fulani!

Mifano kwenye picha




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…