Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Naona watu wengi wanapata shida kwa ile njia ya mwanzo ambayo nilipata kuelekeza hapo awali:

Sasa ngoja nielekeze njia mpya ambayo ni mbadala ambayo bila shaka itakuwa rahisi kwa kila mmoja:

1. Download addon inayoitwa "Playlist Loader" na kisha install katika KODI...(Bila shaka kila mtu anajua namna ya kuistall addon)

2. Baada ya kuinstall, fungua notepad au notepad++ au text editor yoyote katika ndani yake weka kitu hiki:

#EXTINF:0 ,Azam 2


http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8

3. Save hilo file kwa kulipatia jina lolote mfano Azam2 na hakikisha liwe na extension ya dot mu3 (.mu3) badala ya dot txt (.txt), kama unatumia simu basi lihamishie kwa simu file hilo.

4. Kama ukishindwa kutengeneza hilo file basi tembelea link hii hapa chini nimetengeneza hilo file kwa faida ya wote.
https://drive.google.com/file/d/0B16EjXCF75lRbVVraDU3MzZYQVU/view?usp=sharing

5. Fungua Playlist Loader na fuatisha maelekezo haya. Add a new list

8-add-list1.png


6. Andika jina lolote ila napendekeza uandike Azam 2 ili iwe rahisi kukumbuka baadaye

9-list-name.png


7. Baada ya hapo chagua New local list na uweke sasa ile pathname ya lile file ulilopakua toka kwangu hapo juu nambari 4.

10-REMOTE-OR-LOCAL.png


8. Baada ya hapo Azam 2 itakuwa added, unaweza ifungua kuitazama.

fuata maelezo ya hatua no. 4 Justine_Dannie
 
Last edited by a moderator:
Jaman msaada nimebadili simu.sasa hii niliyonayo inagoma kupokea app ya kodi natumia tecno p9 phatom pad min
 
Mbona mi sipati! Haya mambo! Kwenye Samsung Galaxy Note II (GT- N7100)
 
Du yan mi naishia njian naona kama ngum sana ku install
 
Leo nimepata burudani ya ajabu,hakuna scrach wala bufferjng! BT 1. stoke city,arsenal zote nimeangalia kwa desk top!
 
Mtaalam samahani sana kwa usumbufu mimi ninali
Receive ya qsat 11 ninataka kutumia huduma ya iptv internet je mtalaam nifanyeje? Naomba messes wako
 
Watu8,Chief-Mkwawa azam2 addon imegoma kila nikiifungua inanipa message ifuatayo!!"one or more items failed to play.Check the log for more information about this message"!!
 
mbona nimeona kama kwenye picha apojuu kuna kama option ya movie library / BOX OFFICE kwenye iyo kodi inamaana kuna library ya movie mbali mbali na nimpya?
 
mbona nimeona kama kwenye picha apojuu kuna kama option ya movie library / BOX OFFICE kwenye iyo kodi inamaana kuna library ya movie mbali mbali na nimpya?

Yap ukieka addons husika utapata.

Mfano phoenix unapata movie/series mpya
 
Wadau nimeweka hii plexus kwenye kodi sasa inanielekeza sehemu za kujaza-play acestream hash/torrent URL,loard local torrent file,play sopacast ID,play sopacast URL naomba msaada wenu jinsi ya kujaza maeneo hayo.
 
Asubuhi na MTV... Imekuwa one of My Fav channel kwemye list ya channels zangu.... Hii thread imekuwa na msaada sana kwangu.. thanks a lot Watu8 Chief-Mkwawa
 

Attachments

  • 1449893317585.jpg
    1449893317585.jpg
    25.7 KB · Views: 195
  • 1449893328775.jpg
    1449893328775.jpg
    24.7 KB · Views: 197
Last edited by a moderator:
Pasi na shukrani mkuu...Kodi ina mambo mazuri sana na utaipenda zaidi ukiwa na internet nzuri...

Asubuhi na MTV... Imekuwa one of My Fav channel kwemye list ya channels zangu.... Hii thread imekuwa na msaada sana kwangu.. thanks a lot Watu8 Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Azam 2 streaming server yao i think ipo down kwa sasa maana hata katika official webpage yao wapo offline...

Kama wakirudi au wakifanya changes zozote tutaambiana hapa hapa...

Mkuu imegoma kabisa kufunguka hiyo azam 2.sijui tatizo nini??

Watu8,Chief-Mkwawa azam2 addon imegoma kila nikiifungua inanipa message ifuatayo!!"one or more items failed to play.Check the log for more information about this message"!!

Ata mimi hivi hivi
cc #watu8 #chief-mkwawa.
 
Azam 2 streaming server yao i think ipo down kwa sasa maana hata katika official webpage yao wapo offline...

Kama wakirudi au wakifanya changes zozote tutaambiana hapa hapa...

Aksante kiongozi
 
Post yangu ya Mwisho niliwashauri watu watumie IPTV stalker Clone ambazo zina Premium streaming URL
Jamaa wameona hizi Clone zinawaumiza sababu watu wanaweza ku guess MAC adress ambayo ndo authentication scheme wanayotumia pia mtu anaweza nunua MAC adress moja aka share na wngine kupitia hizi Clone addons

Administrator wa IPTV stalker amesema wataanza kui Employ Username na Password (I dont think itawasaidia)

Kwa sasa hawatatoa tena support kwa IPTV stalker bali wataanza kutumia Stalker Client NFPS Ambayo inakupa electronic Program guide(EPG) kwa kila channel unayoitaka iwe ya kiingereza au lugha nyingine.
Hii inasaidia kujua Kinachoendelea Kila channel mfano unaweza ku set EAST AFRICAN TIME(EAT) Zone Then unajua kwamba mda huu saa moja jioni kuna kipindi fulani kinaendelea channel fulani!

Mifano kwenye picha

bb6Uku.png



hFCe2p.png
 
Back
Top Bottom