Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #881
Hii cm niliinunua kwa mtu, basi atakuwa alii root. Cwezi kuirejesha katika hali yake.
Hiyo cko nayo labda ni install.jaribu kui unroot, kuna app inaitwa super su kwenye simu yako?
Nime install super su lakini inaniandikia hivi nikifunguajaribu kui unroot, kuna app inaitwa super su kwenye simu yako?
Kwa wale ambao mtandao uko slow tumia hii hd zote zilikuwa zinastuck lkn hii mwendo mdundo,nimeangalia mechi ya Chelsea vs man utd yote kwa 220 mb tuu.Kuna plugin ya mpira inaitwa devilsport hii ni kombakomba, haina chanell za hd ila ina maelfu ya chanell kutoka website zote maarufu za mpira kama firstrow, rojadirecta, livetv.ru nk
Kama umechoka na matangazo ya website na internet ipo slow tumia hii plugin.
Tutorial How to Install SportsDevil Kodi
vlc utaweza angalia ila kabla ya mechi itabidi uwe unatafuta link mwenyeweNajaribu kupitia tutorial hiyo but naona kunakiutofauti Fulani kwenye kuinstall nijulie ni namna gani naanza hasa step ya kwanza lakini pia napenda kujua je vlc nayo nilisikia inatumika plz chief na wengine wote mjuao hebu tuwekeeni namna ya kuiweka na hiyo vlc tuitumie tupate kulinganisha game nimeichekipia licha kua [Iilikua inastuck stuck kimtindo kupitia zemtv but kidogo mwanga wa IPTV naupata
Nimefanikiwa ku download but cm haija restart na nikienda ku update inaleta hivi.lengo ni kujua umeroot na nini, seems sio super su.
download hii app
Universal Unroot 1.10.apk free download cracked on google play HiAppHere Market
utaclick install then ita download
tumia hio app ku unroot
Manaake umefanikiwa kuiunroot na hapo ndio simu yako android verson yako ilipoishia. Subiri utumiwe nyingine au fanya manually mwenyeweNimefanikiwa ku download but cm haija restart na nikienda ku update inaleta hivi.
View attachment 321724
Sawa sawa ngoja nikae pembeni sasa nisubiri mzigo mwingine.Manaake umefanikiwa kuiunroot na hapo ndio simu yako android verson yako ilipoishia. Subiri utumiwe nyingine au fanya manually mwenyewe
cheki version yako sasa, setting then aboutNimefanikiwa ku download but cm haija restart na nikienda ku update inaleta hivi.
View attachment 321724
Still 4.1.2cheki version yako sasa, setting then about
kama una pc download kies halafu connect simu na usb then tumia hio kucheki updatesStill 4.1.2
Nachek vp baada ya ku install maana sioni sehemu ya kutizama hizo updates.kama una pc download kies halafu connect simu na usb then tumia hio kucheki updates
umeconect simu na pc?Nachek vp baada ya ku install maana sioni sehemu ya kutizama hizo updates.
Yes ipo connectedumeconect simu na pc?
umeona hio screenshot sehemu ambayo inaonesha firmware? pc yako ipo connected na internet? na unatumia kies ya kawaida au lite?Yes ipo connected
Mkwawa tutengenezee hii kitu tuiweke kwa kodiWadau kwa heshima ya jf members nawasilisha mzigo ufuatao- http://ec54.ott.bzdv.net/stream,195,341,830,.m3u8 Hiyo ni ITV Tanzania.