Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,001
angalia mainthread sehemu kulipoandikwa tutorial za kupata pluginsJmn mi naomba msaada, nimedownload kodi, ad on ya watchmojo ipo lkn sijui nifanye nini zaid ili kuweza kuangalia mpira
kwani ukidownload app yao inakuwaje?Kwako Chief Mkwawa ni vipi kuhusu TTCL IPTV tunawezaje kuitumia kama kuna uwezekano hebu tujuze mkuu tafadhali.
Cheaf me nina zote na plugin zaidi ya mbili lakin zote nilianza kuangalia hasahasa mpira inakatakata sana na mwishowe inaacha kabisa na natumia halotel! Hata mobdro nayo inakatakataangalia mainthread sehemu kulipoandikwa tutorial za kupata plugins
Naletewa maelezo kuwa siruhusiwi kutumia hiyo app. mpaka nijiunge ttcl vipi hakuna shortcut mkuu ili niitumie.kwani ukidownload app yao inakuwaje?
Naletewa maelezo kuwa siruhusiwi kutumia hiyo app. mpaka nijiunge ttcl vipi hakuna shortcut mkuu ili niitumie.
Na version nyingine ya ttcl iptv inataka login hakuna hata sign up.
hakikisha kwanza kama eneo lako una speed na ping nzuri download app ya speedtest toka store then pima speed yako halafu nisomee download speed na pingCheaf me nina zote na plugin zaidi ya mbili lakin zote nilianza kuangalia hasahasa mpira inakatakata sana na mwishowe inaacha kabisa na natumia halotel! Hata mobdro nayo inakatakata
kodi haipo windows phone, mimi kwa wp natumia youtube kuangalizia mpira.Chief mi natumia Nokia Lumia 620, nimejaribu Ku download KODI,inagoma. Msaada tafadhali
itakuwa ni app ya kulipia mkuu,Naletewa maelezo kuwa siruhusiwi kutumia hiyo app. mpaka nijiunge ttcl vipi hakuna shortcut mkuu ili niitumie.
hakikisha kwanza kama eneo lako una speed na ping nzuri download app ya speedtest toka store then pima speed yako halafu nisomee download speed na ping
hakikisha kwanza kama eneo lako una speed na ping nzuri download app ya speedtest toka store then pima speed yako halafu nisomee download speed na ping
hakikisha kwanza kama eneo lako una speed na ping nzuri download app ya speedtest toka store then pima speed yako halafu nisomee download speed na ping
ping nzuri na download speed nzuri
hapana, pengine tayari imeshasema hukuiona, inatokea kidogo tu then inapoteachief mkwawa nimefuatilia jinc ya ku-ad on ya DNA now ni km dkk 20 bado screen ya cm iko imestuck sehemu ya kusubiri dna repository enable, vp inachukua mda mrefu sana?