OOPs, nimegundua hiyo repo ya jamaa ina plugins nyingi ambazo hazifanyi kazi. Kama utapata matatizo hayo basi njia nyingine ni kuinstall plugin moja kwa moja peke yake lakini maelekezo ni hayo hayo kwenye video. Advanced Settings unaweza kuipata hapa.Thanx ntajaribu
cable gani? una converter? simu gani?Nani anielekezee jinsi ya kutumia hdmi cable ya kutoka kwenye simu kwenda kwenye tv. Nimenunua hdmi cabel ila nikiunganisha kutoka kwenye simu kwenda kwenye tv hadetect au haionyeshi signal yyte watu
Natumia note 4 mkuu. Ni able yenye pande tatu upande mmoja ni hdmi na usb na upande mwingine ni usb ya simu za smartphonecable gani? una converter? simu gani?
Sina conveter mkuuNatumia note 4 mkuu. Ni able yenye pande tatu upande mmoja ni hdmi na usb na upande mwingine ni usb ya simu za smartphone
Hizo cable nnazo mkuu nipm ukihitajiNinatumia mobdro kwenye simu yangu na nataka niweze kuunganisha kwenye tv. Hizi ndio cable nuaulizia upatikanaji
wake hapa Dar
AINA YA KWANZA
AINA Y PILI
NAMNA YA KUUNGANISHA
cable gani? una converter? simu gani?
umejaribu kubadili cable nyengine?Natumia note 4 mkuu. Ni able yenye pande tatu upande mmoja ni hdmi na usb na upande mwingine ni usb ya simu za smartphone
Nimejaribu ila bado sijui kama unahitajika kuwa na software yeyoteumejaribu kubadili cable nyengine?
hapana haihitaji software kuna feedback ya Kibajajitz kuwa s4 zenye latest software hazikubali mhl cable kama hio sijui kwa case ya simu yako ni vipi.Nimejaribu ila bado sijui kama unahitajika kuwa na software yeyote
Km tv yako ina option ya miracast au smartshare huitaji cable kwa note 4 unaconnect wirelesslyNimejaribu ila bado sijui kama unahitajika kuwa na software yeyote
kwa baadhi ya simu unaipata playstore kama huipati download toka website yao link ipo juu kwenye threadChief mkwaawa nimekukubali sasa nafanyaje ili kudownloaieod kupitia Google play
tatizo la hizi plugins developer akizembea inabidi tu uwe mpole utafute plugins nyengine.Nimekuwa nikitumia SportsDevil kwenye kodi lakini kwa miezi kama miwili hivi sijaitumia. Nimejaribu leo, kila nikifungua inaniambia "No Stream Available".
Tatizo ni nini na nifanyeje?
Nimeupdate kodi na Sportsdevil lakini bado.
Asante Mkuu.tatizo la hizi plugins developer akizembea inabidi tu uwe mpole utafute plugins nyengine.
ngoja uhakikishe kama wengine wanapata tatizo kama lako
Naona huyo developer atakuwa amezembea kweli mimi nilianza kuona hivyo mwez ulipitatatizo la hizi plugins developer akizembea inabidi tu uwe mpole utafute plugins nyengine.
ngoja uhakikishe kama wengine wanapata tatizo kama lako
0Safi mkuu imekubali
Wadau naomba msaada nataka kutengeneza m3u playlist file ili nitumie ktk IPTV player. Nataka kutengeneza kwa kutumia simu yangu naomba maelekezo wadau samahani kwa usumbufu.