Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,461
nenda page 46 utalipata file,Sina file la strm mkuu nielekeze nalipataje?
Mkuu nimeenda page 46 nimekuta phonex addon au ndo hiyo maana mimi playlist loader nayo sasa pakuanzia sasanenda page 46 utalipata file,
download es file explorer halafu extract tv.zip ndani utapata tv.strm fungua hilo file na es file explorer halafu copy link paste humo ndani hizo nyengine za humo ndani unaweza kuzifuta.
ipo mkuu nimeiangalia sasa hv chini kabisa ya page 46Mkuu nimeenda page 46 nimekuta phonex addon au ndo hiyo maana mimi playlist loader nayo sasa pakuanzia sasa
Ndo hii dexter tv au?ipo mkuu nimeiangalia sasa hv chini kabisa ya page 46
Samahani mkuu je mm ninae tumia nokia lumia nifanyaje kuangalia na mm.Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.
Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?
Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
Hio hapo juu sky sport 3
Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
kutokana na request nyingi za watu nita updates hapa mara kwa mara plugins ambazo zipo avtive
1.DNA TV
hii ipo active nimetest chanell kama BT sport na Sky sport zinafanya kazi vizuri tu. install toka hapa
Tutorial How to Install DNA TV for Kodi
ina tatizo la kuandika servel full sababu traffic ni kubwa hivyo ikiandika hivyo angalia chanell nyengine au endelea kuclick hadi ikubali.
pia kwenye repository yake kuna clone za IPTV stalker ila sijazitest.
2.PHOENIX TV
kama uli install phoenix kama .zip file pengine sasa hivi huoni kitu utahitajika kueka version mpya, tumia hii link
Tutorial How to Install Phoenix Kodi XBMC
nimetest chanell za movie na mpira zinafanya kazi
3.ISRAEL LIVE TV
sio mbaya ukiwa nayo kama backup kwenye chanell zake za sports kuna chanell za portugal huwa zinaonesha mpira japo quality si nzuri.
Tutorial How to Install IsraeLIVE Video Add-On Kodi
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
jinsi ya kuangalia mpira kwa kutumia acestream(torrent)
watu wanalalamika matatizo ya buffering kwenye plugin za bure kodi kuna njia nyengine nzuri ya kustream mpira ambayo unatumia p2p kama torrent vile ila kabla hujaamua kuitumia elewa mambo haya
1.uzuri wake
njia hii haitumii server hivyo hakuna overload kwamba mkiwa wengi iwe slow, badala yake mkiwa wengi yenyewe ndio inakuwa na speed sababu mnarushiana hiyo stream wenyewe kwa wenyewe. concept yake ni kama torrent unapodownload hapo hapo unam uploadia mwenzako
hii acestream ina quality kubwa sana mara nyingi stream zake zinakuwa ni hd au full hd hivyo kama una flat tv au simu/laptop/tablet ambazo ni high end utaenjoy
2.ubaya wake
-inakula sana bundles inaweza kumaliza zaidi ya 1gb kwa match sababu unadownload na ku upload kwa wakati mmoja japo unaweza kuamua usiupload uwe una download tu
-mkiwa wachache inaweza kuwa slow
3. ombi, kama kuna mtu anafahamu source ya link za acestream ambazo sio hd kwa watu wasio na bundle kubwa atuekee kwa faida ya wengine.
jinsi ya kueka acestream
-download aceplayer (ni modified version ya vlc) toka hapa
Ace Stream
-link za mechi husiku utazipata siku ya mechi link hizi
http://www.livefootballol.me
chagua link ilioandikwa acestream na url yake lazima inaziwe na
acestream://
ukipata url yake fungua aceplayer yako then click file halafu stream then paste url halafu subiri kidogo itaplay
tafuta app kama tvizzle au vlc kama alivyosema Krait hapo juu zinakubali kustream ukieka url,
kama hio tvizzle inakubali kueka url na kusave hivyo kujitengenezea mwenyewe chanell list
inaruhusu ku add chanell zako mwenyewe?PIA live tv Ni nzuri Sana kwa window phone
inaruhusu ku add chanell zako mwenyewe?
Kwenye pc au simuNaomba kufahamu jinsi ya kuingiza m3u za sports kwenye playlist loader
Bro nina tv samsung smart je naweza install hii iptv humo?Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.
Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?
Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
Hio hapo juu sky sport 3
Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
kutokana na request nyingi za watu nita updates hapa mara kwa mara plugins ambazo zipo avtive
1.DNA TV
hii ipo active nimetest chanell kama BT sport na Sky sport zinafanya kazi vizuri tu. install toka hapa
Tutorial How to Install DNA TV for Kodi
ina tatizo la kuandika servel full sababu traffic ni kubwa hivyo ikiandika hivyo angalia chanell nyengine au endelea kuclick hadi ikubali.
pia kwenye repository yake kuna clone za IPTV stalker ila sijazitest.
2.PHOENIX TV
kama uli install phoenix kama .zip file pengine sasa hivi huoni kitu utahitajika kueka version mpya, tumia hii link
Tutorial How to Install Phoenix Kodi XBMC
nimetest chanell za movie na mpira zinafanya kazi
3.ISRAEL LIVE TV
sio mbaya ukiwa nayo kama backup kwenye chanell zake za sports kuna chanell za portugal huwa zinaonesha mpira japo quality si nzuri.
Tutorial How to Install IsraeLIVE Video Add-On Kodi
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
jinsi ya kuangalia mpira kwa kutumia acestream(torrent)
watu wanalalamika matatizo ya buffering kwenye plugin za bure kodi kuna njia nyengine nzuri ya kustream mpira ambayo unatumia p2p kama torrent vile ila kabla hujaamua kuitumia elewa mambo haya
1.uzuri wake
njia hii haitumii server hivyo hakuna overload kwamba mkiwa wengi iwe slow, badala yake mkiwa wengi yenyewe ndio inakuwa na speed sababu mnarushiana hiyo stream wenyewe kwa wenyewe. concept yake ni kama torrent unapodownload hapo hapo unam uploadia mwenzako
hii acestream ina quality kubwa sana mara nyingi stream zake zinakuwa ni hd au full hd hivyo kama una flat tv au simu/laptop/tablet ambazo ni high end utaenjoy
2.ubaya wake
-inakula sana bundles inaweza kumaliza zaidi ya 1gb kwa match sababu unadownload na ku upload kwa wakati mmoja japo unaweza kuamua usiupload uwe una download tu
-mkiwa wachache inaweza kuwa slow
3. ombi, kama kuna mtu anafahamu source ya link za acestream ambazo sio hd kwa watu wasio na bundle kubwa atuekee kwa faida ya wengine.
jinsi ya kueka acestream
-download aceplayer (ni modified version ya vlc) toka hapa
Ace Stream
-link za mechi husiku utazipata siku ya mechi link hizi
http://www.livefootballol.me
chagua link ilioandikwa acestream na url yake lazima inaziwe na
acestream://
ukipata url yake fungua aceplayer yako then click file halafu stream then paste url halafu subiri kidogo itaplay
inatumia os gani?Bro nina tv samsung smart je naweza install hii iptv humo?
Sijajua nadhani itakuwa android,since its samsung,ni hizi curve tvinatumia os gani?
nafkiri ni Tizen, anza na browser kwanza (kama ipo) jaribu kueka hata link ya azam iliotolewa hapa halafu play then angalia kama itaplay, ikikataa jaribu kutumia app ya ss iptv google utaipataSijajua nadhani itakuwa android,since its samsung,ni hizi curve tv
Thanks bro,the thing is hiyo tv nilimpelekea bi mkubwa bongo, sasa kuna mjomba mmoja mtutndu itabidi nimfowardie haya maelekezo,itakavyokuwa nitakupa mrejesho,God bless you bro.nafkiri ni Tizen, anza na browser kwanza (kama ipo) jaribu kueka hata link ya azam iliotolewa hapa halafu play then angalia kama itaplay, ikikataa jaribu kutumia app ya ss iptv google utaipata