Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
itakua ni mechi 1 tu, hakuna kampuni yenye uwezo wa kuonyesha epl bongo, unless wawe wameanza kutoa haki za nchi moja moja badala ya nchi zote za kusini mwa jangwa la saharaLeo nimesikiaa Watanzania kuangaliaa lig ya EPL buree..... Naomba kujuzwaa imekaaaje hii?
Ahsantee Chief-Mkwawa kwa hizi chanelhizo hapo
Mi mbona nikifungua kodi nikitaka kuiweka hiyo uliyoisave tv zako inagoma maama nimeenda kwenye SYSTEAM=ADDONS=FROM ZIP FILE au kuna njia nyingineAhsantee Chief-Mkwawa kwa hizi chanel View attachment 375945
hio sio addons ni tv tu za kawaida, nenda video halafu file halafu click browse halafu navigate hadi ulipoeka hilo file kisha click ok. rudi tena video halafu file utaziona tv zakoMi mbona nikifungua kodi nikitaka kuiweka hiyo uliyoisave tv zako inagoma maama nimeenda kwenye SYSTEAM=ADDONS=FROM ZIP FILE au kuna njia nyingine
sio zangu mkuu ni za skydmxAhsantee Chief-Mkwawa kwa hizi chanel View attachment 375945
Mkuu nimefata hizo njia lakin cha kushangaza hilo file limejidownload kwenye file la download kwenye file manager alionekani,lakin nikienda kawaida kwenye file manager=download hiko kifaili cha tv zetu nakikutahio sio addons ni tv tu za kawaida, nenda video halafu file halafu click browse halafu navigate hadi ulipoeka hilo file kisha click ok. rudi tena video halafu file utaziona tv zako
kama umezoea kutafuniwa mobdro utaiona nzuri, mfano mzuri tu angalia mobdro kuna azam? ukitaka azam tv utafanyaje? pia quality ya mobdro ni mbaya sana hasa kama unaangalia kwenye simu ya kisasa au tv yenye resolution kubwaMobdro ndo mpango
1. jaribu ku extract kwanza ndani utakuta file la tv zakoMkuu nimefata hizo njia lakin cha kushangaza hilo file limejidownload kwenye file la download kwenye file manager alionekani,lakin nikienda kawaida kwenye file manager=download hiko kifaili cha tv zetu nakikuta
Mkwawa hiyo file naiwekaje kwa tv zille au vlc niweze zitumia pia1. jaribu ku extract kwanza ndani utakuta file la tv zako
2.unapichagua folder la download kwenye kodi hutaliona file la tv zako ila we chagua tu folder ukiingia video halafu files ndio utalipata
Hizi sim sijui nyie eti mnaziita android mkuu huawayunatumia kifaa gani?
tumia link ya kwanza kabisa alioleta skydmx ijaribu na vlc, ikikataa nitakuekea link za chanell zote hapaMkwawa hiyo file naiwekaje kwa tv zille au vlc niweze zitumia pia
jaribu kuclear cache kwanza, nenda setting halafu application halafu itafute kodi then clear cacheHizi sim sijui nyie eti mnaziita android mkuu huaway
Yap ni kweli tatizo izo nyingine process zake zimenishinda Azam 2 link yake nime Paste ktk mx player iyo haina tatizo naipata bila tabukama umezoea kutafuniwa mobdro utaiona nzuri, mfano mzuri tu angalia mobdro kuna azam? ukitaka azam tv utafanyaje? pia quality ya mobdro ni mbaya sana hasa kama unaangalia kwenye simu ya kisasa au tv yenye resolution kubwa
tumia link ya kwanza kabisa alioleta skydmx ijaribu na vlc, ikikataa nitakuekea link za chanell zote hapa[/QUOTEHiyo imesumbua mkuu niweke hizo link zote hapa plz