Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Mkuu hapa naona cjakuelewa vizuri, GB 100?, mbn me nkiweka bando ya GB 2 naangalia mechi 2 kwenye kodi, na tofauti ni ipi kati ya laptop na tv box zote ziwe connected in wireless network, ipi itavuta bando kwa fujo hapo?
ameuliza kwa mwezi hivyo mkadirie sasa hio gb 2 kwa mechi mbili kwa mwezi ataangalia mechi ngapi?

na quality zinatofautiana ukitaka quality kubwa zaidi na mb zinaenda zaidi.

tv box na laptop zitakula mb sawasawa ikiwa wote mnaangalia source moja
 
Mimi natumia link hii direct kwenye browser.
www.goatdee.net
Kwa 600 tu nacheki game 2 au 3 zaidi.
Yeah naipata hyo link, nmeitumia sana bt inategemea na ntwrk ilivy, ikiwa na rate ndogo unachek game 1 na na kipande tu cha game nyingn, ni mzuri sana hyo website, en kuna cricfree.sc.
 
ameuliza kwa mwezi hivyo mkadirie sasa hio gb 2 kwa mechi mbili kwa mwezi ataangalia mechi ngapi?

na quality zinatofautiana ukitaka quality kubwa zaidi na mb zinaenda zaidi.

tv box na laptop zitakula mb sawasawa ikiwa wote mnaangalia source moja
Huh ok mkuu, nlidhani ni kwa siku 1
 
Kwangu natumia simu(android)lakini ukiclick kwenye mechi haifunguki naomba maelekezo
 
mimi naomba muongozo mfano wakujaza hapa
 
mimi naomba muongozo mfano wakujaza hapa
mkuu siwezi kujua unachokitaka sababu hata sijui ni picha ya nini hio

ila mara nyingi mediacentre ni kama plex kazi yake ni kukusanya media zote na kuzieka mahala pamoja.

mfano una desktop, simu, tablet etc kupitia mediacentre unaweza ukaplay vitu vya desktop kwenye simu au tv

unaweza chagua kifaa kimoja mfano hio simu iwe kama server ili kuweza kuhamisha baina ya kifaa na kifaa, na hapo ndio unaandika configuration sasa

-media centre name unaandika chochote
-adress ni url ya kupitishia mfano urlyako.com
-port mfano ni 80 au 8080 au 3128 au 443 etc
-password ndio neno siri lako
 
asante ngoja nijaribu
 
Wataalamu kuna update imetoka ya kodi 17.0 lakini kwenye Simu yangu ambayo inatumia(KitKat) haionekani na vilevile hata ile niliyokuwa nayo siioni play store ila kwenye Simu naomba msaada.
 
Kaka kwenye simu hata mie nikiuninstall na kuinstall haibadiliki ila najua wana new version ya 17.0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…