- Haiwekewi bundle la internet..hiyo stick tv huwa inawekwaje bundle la internet?ina line kama ya simu au?
Kwa kuwa TV yako ni "smart Tv"mimi tv yangu ni Samsung smart tv,je nitafanyaje ili iwe na operating system ya android ili niweze kutumia stick tv?
Mkuu unavyosema kuwa sihitaji kuwa na android box unamaanisha kuwa sihitaji kuwa na stick tv?Kwa kuwa TV yako ni "smart Tv"
- Haihitaj kuwa na Android Tv box
- Je nani anapaswa kutumia android Tv box? - Ni wale wenye TV za kawaida. Ambazo haziwezi kuunganishwa kwenye internet, hivyo wanahitaj TV box ili kutumia aplication tofauti tofauti kama tuwekazo kwenye simu. Yaani kuifanya TV ya kawaida iwe smart TV
Je nin unatakiwa kufanya kwenye TV yako "J52xx Series"
- Jifunze jinsi gani ya kuiunga kwenye internet kwa wireless - sababu ina Built-in Wi-Fi adapter.
- Jifunze jinsi gani ya kufanya "Screen Mirroring" kutokea kwenye smartphone yako.
- Jifunze jinsi gani ya ku add au kuondoa application katika smart TV yako -
Tumia youtube na forums mbalimbali mtandaoni kujifunza haya.
Karibu
Sababu kile kinachofanyika kwenye TV stick, hata Smart TV yako pia inaweza kufanya.Mkuu unavyosema kuwa sihitaji kuwa na android box unamaanisha kuwa sihitaji kuwa na stick tv?
Asante mkuu!!..........hii kitu huwa ina kazi gani mkuu?[emoji116]- Haiwekewi bundle la internet.
- Haina mahala pa kuweka laini
Android Tv box
- zinapokea internet toka kifaa kingine
- Mfano waweza kuiunga TV box kwenye internet kwa kutumia
1. Wireless - hapa chanzo cha Wi-Fi chaweza kuwa simu yako au wireless router
2. Waweza kutumia LAN cable - Iwapo ina tundu husika
View attachment 498194
3. Na baadhi ya TV box waweza kutumia modem direct
Hii cable inaitwa Smartphone Headset to PC AdapterAsante mkuu!!..........hii kitu huwa ina kazi gani mkuu?[emoji116]
Nenda karipoti kwenye ofisi za DSTV!🙂🙂Wakuu mi nahitaji Huduma ya DSTV
Mkuu tafadhali naomba msaada,smart tv yangu inashindwa kucheza muziki niliyoidownload kutoka youtube ambayo ipo kwenye flash disc nichomekapo kwenye usb port ya hiyo tv!!.....naomba nieleze code sahihi za videos,sauti pamoja na format inayoweza kukubali kucheza kwenye tv.Pia naomba niambie software nzuri ya window ambayo inaweza kuconvert hizo video ili ziende kwenye format inayoweza kukubali kucheza kwenye hiyo tv yangu!!quality ya vga. siku zote unapotumia vitu viwili kimoja chenye speed ndogo na chengine speed kubwa jua utapata speed ndogo.
sema kibongo bongo vga bado ni quality inayotosha inapiga mzigo kwa full HD na hata 2K, sema itachemsha hapo 2k kuelekea 4K kwa wale wachache wenye monitor/tv za ultra HD
Bila shaka video uliyodownload youtube ipo kwenye format ya .avi cha muhimu itakubid uiconvert iwe kwenye format ya mp4 ndo itaweza kucheza.Unaweza kudownload total video converter kufanya hlo jamb😵ption ya pili km una smart tv ikonnect kwenye internet uinstall vlc kisha uifanye kama default video player kwenye tv yako.Natumaini umenielewa.Mkuu tafadhali naomba msaada,smart tv yangu inashindwa kucheza muziki niliyoidownload kutoka youtube ambayo ipo kwenye flash disc nichomekapo kwenye usb port ya hiyo tv!!.....naomba nieleze code sahihi za videos,sauti pamoja na format inayoweza kukubali kucheza kwenye tv.Pia naomba niambie software nzuri ya window ambayo inaweza kuconvert hizo video ili ziende kwenye format inayoweza kukubali kucheza kwenye hiyo tv yangu!!
Shukrani
niliiconvert kwenda kwenye mp4 ila ilikataa kucheza pia!......naomba nifafanulie namna ya kudownload vlc kwenye smart tv please!!Bila shaka video uliyodownload youtube ipo kwenye format ya .avi cha muhimu itakubid uiconvert iwe kwenye format ya mp4 ndo itaweza kucheza.Unaweza kudownload total video converter kufanya hlo jamb😵ption ya pili km una smart tv ikonnect kwenye internet uinstall vlc kisha uifanye kama default video player kwenye tv yako.Natumaini umenielewa.
Mp4 format haiwezi kukataa kucheza kwenye smart tv,je hyo video ukiplay kwenye pc inacheza? Na kwenye kuplay kama mtumiaj wa windows tumia windows media player kwan huwa haisupport .aviniliiconvert kwenda kwenye mp4 ila ilikataa kucheza pia!......naomba nifafanulie namna ya kudownload vlc kwenye smart tv please!!
Kwenye pc inacheza vizuri tu ila kwenye tv haichezi!!......najaribu kudownload vlc kwenye hii tv ila hakuna version kwa ajili ya tv,kuna version kwa ajili ya window,android,mac, e.t.c basi!!Mp4 format haiwezi kukataa kucheza kwenye smart tv,je hyo video ukiplay kwenye pc inacheza? Na kwenye kuplay kama mtumiaj wa windows tumia windows media player kwan huwa haisupport .avi
Smart tv yako kwan haitumii os ya android?Kwenye pc inacheza vizuri tu ila kwenye tv haichezi!!......najaribu kudownload vlc kwenye hii tv ila hakuna version kwa ajili ya tv,kuna version kwa ajili ya window,android,mac, e.t.c basi!!
TV yangu imekuja na OS ya Tizen(Samsung tv huwa wanatumia OS ya tizen)Smart tv yako kwan haitumii os ya android?
Nimekuelewa mkuu je kwenye appstore ya hii tizen os kuna player gani ambayo itakuwa na baadhi ya codec km vlc?TV yangu imekuja na OS ya Tizen(Samsung tv huwa wanatumia OS ya tizen)
mkuu ujue sometime movie kuwa mp4 au avi haisaidii sababu haya ni macontainer tu bila kutumia codec husika utakwama hasa kwa vifaa ambavyo sio windows/android.Mkuu tafadhali naomba msaada,smart tv yangu inashindwa kucheza muziki niliyoidownload kutoka youtube ambayo ipo kwenye flash disc nichomekapo kwenye usb port ya hiyo tv!!.....naomba nieleze code sahihi za videos,sauti pamoja na format inayoweza kukubali kucheza kwenye tv.Pia naomba niambie software nzuri ya window ambayo inaweza kuconvert hizo video ili ziende kwenye format inayoweza kukubali kucheza kwenye hiyo tv yangu!!
Shukrani