Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kuna plugin ya mpira inaitwa devilsport hii ni kombakomba, haina chanell za hd ila ina maelfu ya chanell kutoka website zote maarufu za mpira kama firstrow, rojadirecta, livetv.ru nk

Kama umechoka na matangazo ya website na internet ipo slow tumia hii plugin.

https://seo-michael.co.uk/how-to-manually-install-sportsdevil-on-xbmc/?_e_pi_=7,PAGE_ID10,3406763772

Ndio ninayotumia hiii mkuuu nishazoea hata na quality yake ya kawaida mradi nione tukio.
 
Sportsdevil tv zake ni zile zinazopatikana site maarufu za mpira kama firstrow, livetv.ru na rojadirecta. Zenyewe zina quality ndogo sana kwa wale wenye internet isio na speed. Mfano rojadirecta ana chanell ambazo ni chini ya 200kbps. Ukiwa na network ya edge unaweza stream

mkuu Njunwa hiyo rojadirecta naiweka kwenye KODI au nastream kupitia browser ?
 
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.

Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.

Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.

Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html

Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.

KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kodi-devices-smudged.jpg


Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi

Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
9vW4MHp.jpg


KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
zNbDtYR.jpg

PppArCw.jpg


Hio hapo juu sky sport 3

Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.

Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli

Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
Plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc

Website hio hio pia utapata plugins nyingi.

Kama una swali lolote usisite kuuliza chini

Kaka asante sana kwang inafanya kaz no bando tuu ila kama wi fe inakuwa bora said nashukuru sana ukipata na livesoccertv BC umemaliza kazi
 
Chief-Mkwawa na Njunwa Wamavoko nilifanya update ya kodi kwenda nadhani version 15.something sasa vdtube na phoenix zilikua hazifanyi kazi nadhani ktk kuandika nilikosea zile anuani...what I did ni kwamba niliclear data na sasa nataka kuingiza upya zile anuani hapo pa add source hapafunguki...
Nimejaribu kila namna mpaka na skin nimechange wapi hapafunguki ili niedit...
Help me what should I do😥😥
 

Attachments

  • 1441444612015.jpg
    1441444612015.jpg
    23.3 KB · Views: 249
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa na Njunwa Wamavoko nilifanya update ya kodi kwenda nadhani version 15.something sasa vdtube na phoenix zilikua hazifanyi kazi nadhani ktk kuandika nilikosea zile anuani...what I did ni kwamba niliclear data na sasa nataka kuingiza upya zile anuani hapo pa add source hapafunguki...
Nimejaribu kila namna mpaka na skin nimechange wapi hapafunguki ili niedit...
Help me what should I do😥😥

Download phoenix ambayo ni kama zip file halafu install kama zip
 
Last edited by a moderator:
Download phoenix ambayo ni kama zip file halafu install kama zip

Exactly....nilitaka kitu kama hio maana nishaweka sportsdevil tayari...
Naomba link yake kama unayo ya zip file la phoenix na superRespo
 

Yaah niligugo nikaipata ya phoenix....ya superRepo ndo sijaipata mkuu..na naihitaji kwaajili ya channels za dstv....au kama kuna plugin nyingine yenye hizi channels waweza nipatia...
Pia hapa Nina zip file ya azam TV na star TV aliyoweka Watu8 ila nimesahau jinsi ya kuiweka ili nizipate hizi channels.
 
Last edited by a moderator:
Yaah niligugo nikaipata ya phoenix....ya superRepo ndo sijaipata mkuu..na naihitaji kwaajili ya channels za dstv....au kama kuna plugin nyingine yenye hizi channels waweza nipatia...
Pia hapa Nina zip file ya azam TV na star TV aliyoweka Watu8 ila nimesahau jinsi ya kuiweka ili nizipate hizi channels.

unzip hilo file utakuta file la kodi ndani, hio superrepo naona siipati .zip yake maybe update ijayo ya kodi itafiz hilo tatizo lako
 
Last edited by a moderator:
Mbona Kodi haikubali kuwa installed kwenye PC yangu?
 
Ina display hivi kwenye dialog box
Error Opening file for:
C:/Program Files (x86) Kodi. exe
Click Abort to stop the installation,
Retry to try again, or
Ignore to skip this file

Jaribu alternative hii,

Run setup halafu ikija sehemu ya kuchagua pa kuinstall kodi usiinstall kwenye c://program files ieke kwenye folder lengine utakalokumbuka kama c://games nk
 
Kuna hii ADDON inaitwa IsraelLive TV ina List ina range kutokea 700-1000+ Ya Channel personally nimeipenda sababu Nimeona channel ya Trace Urban ambayo basically mpaka uipate kwa hapa Bongo lazima ulipe DSTV au Canal

Nime attach zipi file hivo inabidi uende kwenye settings then Install Addon from Zip ukimaliza install utaikuta kwenye Video addons

Lakini ukia hapo haitokupa kitu chochote lazima u enable IPTV PVR Simple client then uki restart Kodi yako ita load list nzima ya channel

V1ksF4.png
 

Attachments

Back
Top Bottom