Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)


Sidhani kama hii ndo yenyewe,wewe ume install ukawa na uhakika kuwa ni Stalker clone

How to install hio IPTV stalker clone mfano hio cypher TV

The best and easiest way ya ku enjoy Kodi niku Google kile unachoambiwa utagunddua mambo mengi zaidi ambayo haujaelezwa

Mm nimekutajia Cypher TV na nimeipatia Jina IPTV Stalker Clone....Uki google hizi terms mbili utapata mambo mengi mazuri sana!
Sababu clone ziko kama nne si mbaya ukizijua majina zote ili moja ikikosa development unaamia ya pili
 
Sidhani kama hii ndo yenyewe,wewe ume install ukawa na uhakika kuwa ni Stalker clone



The best and easiest way ya ku enjoy Kodi niku Google kile unachoambiwa utagunddua mambo mengi zaidi ambayo haujaelezwa

Mm nimekutajia Cypher TV na nimeipatia Jina IPTV Stalker Clone....Uki google hizi terms mbili utapata mambo mengi mazuri sana!
Sababu clone ziko kama nne si mbaya ukizijua majina zote ili moja ikikosa development unaamia ya pili

unatumia version ngapi? nimeieka now naona chanell nyingi zipo down
 
Sidhani kama hii ndo yenyewe,wewe ume install ukawa na uhakika kuwa ni Stalker clone



The best and easiest way ya ku enjoy Kodi niku Google kile unachoambiwa utagunddua mambo mengi zaidi ambayo haujaelezwa

Mm nimekutajia Cypher TV na nimeipatia Jina IPTV Stalker Clone....Uki google hizi terms mbili utapata mambo mengi mazuri sana!
Sababu clone ziko kama nne si mbaya ukizijua majina zote ili moja ikikosa development unaamia ya pili

Duh nime google nimechemka nimepata hii link http://bit.ly/stalkerclone (mega) lkn ku download imekuwa issue km hutojali tupe link sahihi
 
unatumia version ngapi? nimeieka now naona chanell nyingi zipo down

VouYdz.png
 
Mbona nimeandika vizuri hiyo website nataka nipate vdubt 25.nikifika kwenye highlite and type xfinity inakuwa imeisha jiandika maana natumia android s5 sumsung .nikibonyeza ok inaniambia could not be open no network ebu nisaidie please
 
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.

Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.

Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.

Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html

Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.

KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kodi-devices-smudged.jpg


Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi

Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
9vW4MHp.jpg


KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
zNbDtYR.jpg

PppArCw.jpg


Hio hapo juu sky sport 3

Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.

Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli

Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
Plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc

Website hio hio pia utapata plugins nyingi.

Kama una swali lolote usisite kuuliza chini



Natumia Samsung tab 10.1 lakini inakataa kudownload hiyo app
 
Dawa ya KODI kwa sasa ni Halotel mitandao mingine utasubiria sana, kwa kweli naenjoy sana has a kwa add-on za sport devil, mkaburu atasubiri sana kwenda kulipia dstv
 
Last edited by a moderator:
Hivi naweza angalia dstv kwa hizo kodi wakuu na walimu??

Ndio unapata SuperSports tu kwa ZEMTV.COM shani's Addon
Sema anayezi Host hana speed ndogo ya server so usitegemee ku enjoy

Tafuta Addon yenye Skysports, BT sports,Setanta Sports Utapata kile anachokipata wa Super sports

angalia picha hapa chini kwa mtu mwenye SuperSports kanizidi nini?

aw3tfV.png
 
Ndio unapata SuperSports tu kwa ZEMTV.COM shani's Addon
Sema anayezi Host hana speed ndogo ya server so usitegemee ku enjoy

Tafuta Addon yenye Skysports, BT sports,Setanta Sports Utapata kile anachokipata wa Super sports

angalia picha hapa chini kwa mtu mwenye SuperSports kanizidi nini?

aw3tfV.png

Hio add on ipiii
 
Back
Top Bottom