Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Natumia Samsung tab 10.1 lakini inakataa kudownload hiyo app

Tablet yako inatumia processor gani na ina android version gani?

Kodi inakubali kuingia katika device ya android yenye version 4.2 na kuendelea...

Pia kama una device inayorun recommended android version na processor yako ni kutoka intel basi huna budi kudownload kodi android version x86, otherwise pakua kodi ARM...
 
Azam two siku hizi hafunguki sijuhi kwa nini so kibongobongo utaambulia startv tu.

Me nilijua simu yangu tuu kila nikifungua link ya azam 2 nakuta hollla

Sasa hivi inafunguka...

Hapo katikati ilikuwa inasumbua nadhani jamaa walikuwa wanahamisha traffic yao kutoka server moja kwenda nyingine hivyo hata souce IP ilibadilika...

Kwa tunaojua tulibadilisha hiyo IP na mambo yakaendelea kuwa safi...

Sasa hivi kuna source IP's (host IP) mbili, ile ya mwanzo na nyingine mpya nafikiri wamefanya hivi kuondoa congestion...

tumewadhibiti siyo kwamba na sisi hatupo Jamii Forums La hasha.

tumewadhibiti siyo kwamba na sisi hatupo Jamii
Forums La hasha.

Mkuu acha kudangaya raia...Azam 2 inaonekana vizuri tu
 
Sasa hivi inafunguka...

Hapo katikatika ilikuwa inasumbua maana nadhani walikuwa wanahamisha traffic yao kutoka server moja kwenda nyingine hivyo hata souce IP ilibadilika...

Kwa tunaojua tulibadilisha hiyo IP na mambo yakaendelea kuwa safi...

Sasa hivi kuna source IP's (host IP) mbili, ile ya mwanzo na nyingine mpya nafikiri wamefanya hivi kuondoa congestion...





Mkuu acha kudangaya raia...Azam 2 inaonekana vizuri tu

Naomba hiyo source mkuu
 
Tablet yako inatumia processor gani na ina android version gani?

Kodi inakubali kuingia katika device ya android yenye version 4.2 na kuendelea...

Pia kama kama processor yako ni kutoka intel basi huna budi kudownload kodi android version x86, otherwise pakua kodi ARM...

Je hakuna namna ya kupata kodi kwa wale tunao tumia android version 4.1
 
I don't think so...
Je xbmc bado inafanya kazi? Nilidownload kutoka website fulani hivi ikakubali kufunga ila shida ni kwamba haikubali addon yeyote. Mfano nikiweka sports devil inaniambia add on dependensies not met. Unaweza nisaidia hapo?
 
Sasa hivi inafunguka...

Hapo katikati ilikuwa inasumbua nadhani jamaa walikuwa wanahamisha traffic yao kutoka server moja kwenda nyingine hivyo hata souce IP ilibadilika...

Kwa tunaojua tulibadilisha hiyo IP na mambo yakaendelea kuwa safi...

Sasa hivi kuna source IP's (host IP) mbili, ile ya mwanzo na nyingine mpya nafikiri wamefanya hivi kuondoa congestion...





Mkuu acha kudangaya raia...Azam 2 inaonekana vizuri tu

Mkuu naomba link mpya ya azam two
 
Mkuu naomba link mpya ya azam two

IP ya zamani na mpya zote zinafanya kazi...

Btw IP kama unataka kubadili ya mwanzo tumia 154.73.170.210 iweke pale mahali pa ilipokuwa ile ya awali 196.41.40.253

Kuna link nilishawahi kuiweka hapa post #176 hivyo weka tu hiyo mpya ile sehemu yenye hiyo 196.41.49.253
 
Je xbmc bado inafanya kazi?

Mkuu XBMC ni jina la awali ambalo Kodi ilikuwa ikilitumia kama jina la kampuni na vilevile software...

Mwanzoni kabisa walianza kwa kujiita XBMP walitoa matoleo kadhaa waliyoyaita Atlantis, Babylon, Camelot, Dharma, Eden baadaye wakabadili jina na kuwa XBMC ambapo wakatoa Frodo(v12.x) na Gotham(v13.x)...

Baadaye wakabadili jina badala ya kujiita XBMC wakaanza kujiita Kodi na hata software yao ikaanza kuitwa Kodi na mabadiliko hayo yakaambatana na kutoa version mpya waliyoiita Helix(v14.x)

Sasa hivi kuna version mpya nyingine iitwayo insegard (v15.x) na pia kuna version iitwayo jarvis(v16.x) ipo kwa majaribio

Nilidownload kutoka website fulani hivi ikakubali kufunga ila shida ni kwamba haikubali addon yeyote. Mfano nikiweka sports devil inaniambia add on dependensies not met. Unaweza nisaidia hapo?

Sijawahi kutana na hii kitu isipokuwa naamini hilo file la zip ulilodownload linaweza kuwa halijakamilika (broken file)...

Nakushauri udownload either repositories au addons kutoka kwa vyanzo vinavyoaminika...

mfano jaribu kudownload toka kwa mitandao kama ya superrepo, seo michael, tvaddons e.t.c...
 
Vp hii kodi Inaweza kufanya kazi kwenye lumia 520
je Kama,haiwezekani Kuna app nyingine!?
 
Vp hii kodi Inaweza kufanya kazi kwenye lumia 520
je Kama,haiwezekani Kuna app nyingine!?

haifanyi, download live stream universal yenyewe ina sehemu ya kueka links na kila anaeeka link watumiaji wote wa hio app wanaona hivyo ina tv nyingi sana
 
IP ya zamani na mpya zote zinafanya kazi...

Btw IP kama unataka kubadili ya mwanzo tumia 154.73.170.210 iweke pale mahali pa ilipokuwa ile ya awali 196.41.40.253

Kuna link nilishawahi kuiweka hapa post #176 hivyo weka tu hiyo mpya ile sehemu yenye hiyo 196.41.49.253

IP zote tatu kwenye DT hamna kitu!! Leteni maujuzi zaid namna ya kuona azam2.
Chief Mkwawa tafadhari lete nondo hapa!!!
 
IP zote tatu kwenye DT hamna kitu!! Leteni maujuzi zaid namna ya kuona azam2.

Umefuatilia posts za nyuma namna ya ku-add Azam2 katika Kodi?

Kama kwako huwezi kuona kwa IP's hizo probably una shida ya internet/connectivity na wala si kwamba Azam2 haitokei ktk server yenye IP's hizo...

Mimi huwa naitazama na nimetoka kuitazama muda si mrefu hapa...

NB:
Tafadhali rejea posts za nyuma huko usome namna gani ya kuijumuisha Azam2 ktk KODI, waliofuatilia tulivyoelekeza walifanikiwa.

Tumia mojawapo kati ya hiz

rtmp://196.41.40.253:1935/live/myStream

AU

rtmp://154.73.170.210:1935/live/myStream
 
Watu8 for da first time nime install kodi kwenye Android and its working perfectly.. And nimechek you tube how to add channels nimefanikiwa nimepata channel zaidi ya mia.. Hadi adults channel's haha.. Lakini jinsi ya kuadd channel's za Bongo nimekwama.. Naomba msaada please nimefuatilia hii thread kutoka mwanzo kuna sehemu sijaelewa,, kuhusu sijui creat folder then create file NDANI ya hilo folder.. Hapo ndo nimekwama.. Please naomba msaada hapo aisee Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Naona watu wengi wanapata shida kwa ile njia ya mwanzo ambayo nilipata kuelekeza hapo awali:

Sasa ngoja nielekeze njia mpya ambayo ni mbadala ambayo bila shaka itakuwa rahisi kwa kila mmoja:

1. Download addon inayoitwa "Playlist Loader" na kisha install katika KODI...(Bila shaka kila mtu anajua namna ya kuistall addon)

2. Baada ya kuinstall, fungua notepad au notepad++ au text editor yoyote katika ndani yake weka kitu hiki:

#EXTINF:0 ,Azam 2


http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8

3. Save hilo file kwa kulipatia jina lolote mfano Azam2 na hakikisha liwe na extension ya dot mu3 (.mu3) badala ya dot txt (.txt), kama unatumia simu basi lihamishie kwa simu file hilo.

4. Kama ukishindwa kutengeneza hilo file basi tembelea link hii hapa chini nimetengeneza hilo file kwa faida ya wote.
https://drive.google.com/file/d/0B16EjXCF75lRbVVraDU3MzZYQVU/view?usp=sharing

5. Fungua Playlist Loader na fuatisha maelekezo haya. Add a new list

8-add-list1.png


6. Andika jina lolote ila napendekeza uandike Azam 2 ili iwe rahisi kukumbuka baadaye

9-list-name.png


7. Baada ya hapo chagua New local list na uweke sasa ile pathname ya lile file ulilopakua toka kwangu hapo juu nambari 4.

10-REMOTE-OR-LOCAL.png


8. Baada ya hapo Azam 2 itakuwa added, unaweza ifungua kuitazama.

Watu8 for da first time nime install kodi kwenye Android and its working perfectly.. And nimechek you tube how to add channels nimefanikiwa nimepata channel zaidi ya mia.. Hadi adults channel's haha.. Lakini jinsi ya kuadd channel's za Bongo nimekwama.. Naomba msaada please nimefuatilia hii thread kutoka mwanzo kuna sehemu sijaelewa,, kuhusu sijui creat folder then create file NDANI ya hilo folder.. Hapo ndo nimekwama.. Please naomba msaada hapo aisee Chief-Mkwawa
 
Haha sijui nikutukane kwa lugha gani.. Ur bad brother haha.. Duuh finally i got this b*tch.. Daaah thanks mkuuu.... Watu8 asante sanaaaaa kaka
 

Attachments

  • 1448564748194.jpg
    1448564748194.jpg
    35.8 KB · Views: 253
  • 1448564756806.jpg
    1448564756806.jpg
    53.9 KB · Views: 248
Last edited by a moderator:
More Tanzania channels haha😂😂 Watu8
 
Last edited by a moderator:
Nimejaribu lakini bado, simu yangu ni Tecno Y6 nielekeze nifanyeje ni enjoy kama wengine???
 
Back
Top Bottom