Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Kuhusu Mtandao mzuri mm naona Halotel wanatisha sana sema ndo hivo message ya kubana speed haichelewi kuja!
Kama unavyoweza kuona kwenye picha hapa napata 19Mbps nafikiri hata Tigo 4G maeneo mengine wanapata peed kama hii
Kama unavyoweza kuona kwenye picha hapa napata 19Mbps nafikiri hata Tigo 4G maeneo mengine wanapata peed kama hii