Bigteacher
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 458
- 192
Na hakuna namna ya kuzirudisha au ndo basi tena?hazifanyi tena mkuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hakuna namna ya kuzirudisha au ndo basi tena?hazifanyi tena mkuu,
ni gharama mkuu kuzieka online, njia rahisi ni wao wenyewe waeke au uzieke wewe halafu watu walipieNa hakuna namna ya kuzirudisha au ndo basi tena?
Shukran mkuuni gharama mkuu kuzieka online, njia rahisi ni wao wenyewe waeke au uzieke wewe halafu watu walipie
mkuu situmii hio app. ukiview profile zao huoni?Shukran mkuu
Ila naomba msaada kidogo utawia radhi kutoka nje ya uzi kidogo naomba kufaham kama kuna uwezekano wa kuona signature za members kwenye post zao ukiwa watumia tapatalk au jf apps?
Sioni nilikuwa nikimaanisha kama kwenye browsermkuu situmii hio app. ukiview profile zao huoni?
kama haipo ujue hapo hadi tapatalk wenyewe waamue kuiekaSioni nilikuwa nikimaanisha kama kwenye browser
Sorry....sijaelewa....hzo za bongo auhaya wakuu.
futa .txt na weka .m3u , ngoma juu
Sorry....sijaelewa....hzo za bongo au
Niwekee azam two mkuuHapana, za bongo ziko offline isipokuwa azam 2 peke yake ndiyo inafanya kazi.
Mkuu sipo nyumbani, lakini fungua hilo file na utakuta links humo, ila jaribu zipi zinafanya, maana nyingi hazifanyi, lakini azam2 bado inafanya.Niwekee azam two mkuu
So,hzo ni za nn?Hapana, za bongo ziko offline isipokuwa azam 2 peke yake ndiyo inafanya kazi.
za ki afrika kaka, ikiwemo azam 2So,hzo ni za nn?
Unavopenda bwerereee!Ubarikiwe tena na tena
Ngoja nitest
Mkuu naomba unipe tips za kuweka hii maana nimepitia pages za juu sielewiMkuu sipo nyumbani, lakini fungua hilo file na utakuta links humo, ila jaribu zipi zinafanya, maana nyingi hazifanyi, lakini azam2 bado inafanya.
vinginevyo pakua hilo file halafu badili .txt na weka .m3u, halafu liweke kwenye player yako na zitakuja channels zote.
Mkuu sijaelewa hapohaya wakuu.
futa .txt na weka .m3u , ngoma juu
ni hivi: pakua hilo file halafuMkuu sijaelewa hapo
Ni hivi mkuu: pakua hilo file halafu badilisha au futa hiyo .txt na weka .m3u , baada ya hapo chukua hilo file lako jipya (africa_april.m3u) na liweke kwenye player yako, hapo utapata channels utaangalia zile ambazo bado ziko live (kama azam 2) na nyinginezo, ila kuna baadhi ziko offline.Mkuu sijaelewa hapo
Shukran sana mkuu nimefanikiwa aiseeni hivi: pakua hilo file halafu
Ni hivi mkuu: pakua hilo file halafu badilisha au futa hiyo .txt na weka .m3u , baada ya hapo chukua hilo file lako jipya (africa_april.m3u) na liweke kwenye player yako, hapo utapata channels utaangalia zile ambazo bado ziko live (kama azam 2) na nyinginezo, ila kuna baadhi ziko offline.