Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuwa kwenye taskbar umeeka setup na sio program yenyewettz jingine hii app nimeiweka kwenye taskbar kila nikiifungua badala ya kufunguka moja kwa moja ,naanza upya tena kuinstall na kuirun upya, i mean haifunguki moja kwa moja
nenda setting halafu video halafu chini pameandikwa basic badili pawe advanced au expert kisha click acceleration kwenye render method chagua softwarenatumia desk top computer ya HP
Ok poa unaweza kunitajia Frequency,symbol rate na polarity unayotumia ....coz kwangu imekata..hamna signal kabisaIko poa
Mkuu mimi hili swala la kuweka addd on naona linanitoa jasho sana, naipatia wapi hii vdtube25, maana nmeshindwa kuiona kwny add ons za pale kwny videos, naomba msaada.Fata tutorial ya vdtube kuna add on nyingi sana tafuta humo zote Ni channel za mpira
Mkuu mimi hili swala la kuweka addd on naona linanitoa jasho sana, naipatia wapi hii vdtube25, maana nmeshindwa kuiona kwny add ons za pale kwny videos, naomba msaada.
Yeah nshaweza kufanya yote nlianzia kwny watchmojo ikakubali, sasa nataka add ya hyo vdtud25 cjui, naipatia wapi....??mkuu umejaribu addon ya kawaida kwanza? jaribu hizo unazoziona zikifaa then unaanza kujifunza hizi nyengine.
addons za mpira, movie na mambo mengine mazuri hazipatikani kwenye store ya kodi unazieka mwenyewe.
pia unatakiwa kujua kueka playlist ya url tofauti za live tv ili kujiekea tv zako mwenyewe kama tv za tanzania, kenya etc.
hao vdtube naona kama wamekufa siku hizi sijaitumia siku nyingi.Yeah nshaweza kufanya yote nlianzia kwny watchmojo ikakubali, sasa nataka add ya hyo vdtud25 cjui, naipatia wapi....??
hao vdtube naona kama wamekufa siku hizi sijaitumia siku nyingi.
angalia hapa kupata addons zinazofanya kazi
Best Football Addons Kodi | Watch Live Sports Kodi[
I dd t mkuu ila kuna sehemu nmefeli nahc
hao vdtube naona kama wamekufa siku hizi sijaitumia siku nyingi.
angalia hapa kupata addons zinazofanya kazi
Best Football Addons Kodi | Watch Live Sports Kodi
Ok poa unaweza kunitajia Frequency,symbol rate na polarity unayotumia ....coz kwangu imekata..hamna signal kabisa
hio ni phoenix ila sidhani kama bado nzima, eka zem tv zipo zote hizo nimeitest sasa hivi![]()
Kafanyaje huyu mbn kwangu haitokei hv??
Hii kitu iko poa sana
Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-
1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C
Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi
Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni
safi
1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams
Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri
Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth
Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event
![]()
Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu
N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile
Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna
![]()
Zemtv naona haitak kudownload mkuu, ila zpo nyingi znakubali bt hili likodi n zito sana yani litahitaji rate kubwa ya ntwrk.hio ni phoenix ila sidhani kama bado nzima, eka zem tv zipo zote hizo nimeitest sasa hivi
Mkuu nikuulize kitu, ila ntahitaji unijibu kwa mapana zaidi ukipata muda, swali ni hivi, ni tv gani ya kisasa inauwezo wa kufanya kazi km kompyuta, yaani iwe na uwezo wa kukamata wireless ntwrk au kuinstall modem drivers, iwe na uwezo wa kuinstall programs km hii ya kodi na nyingnezo, je inawezekana kwa hizi tv za kisasa kuweka kuoperate browsers km operamini, chrome n.k, nawezaje kutype maneno while remote haijawekwa herufi, naomba unienlighten juu ya hili mkuu.hio ni phoenix ila sidhani kama bado nzima, eka zem tv zipo zote hizo nimeitest sasa hivi
hahaha inadepend na quality na aina ya streaming ila kodi yenyewe ni nzito kama kifaa chako hakina specs za kutosha.Zemtv naona haitak kudownload mkuu, ila zpo nyingi znakubali bt hili likodi n zito sana yani litahitaji rate kubwa ya ntwrk.
Natumia elitebook 2570phahaha inadepend na quality na aina ya streaming ila kodi yenyewe ni nzito kama kifaa chako hakina specs za kutosha.
unatumia kifaa gani? kama shida ni mpira tu nikuangalizie aina nyengine ya kuplay tv