Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Hamna mkuu wameweka stations zao tu na uwez kudownload apps yeyote ipo strictly sana you tube ndo naangalia bila account
simaanishi kudownload apps, namaanisha kueka player kama vile vlc au player yoyote inayoplay video hakuna? cheki hio player haina option ya manual kueka url?
 
Hamna mkuu wameweka stations zao tu na uwez kudownload apps yeyote ipo strictly sana you tube ndo naangalia bila account
pia kama una iphone nafkiri unaweza tumia air play standard ya apple ya wireless
 
simaanishi kudownload apps, namaanisha kueka player kama vile vlc au player yoyote inayoplay video hakuna? cheki hio player haina option ya manual kueka url?
Haina kabisa haikubali kitu kuweka nimesoma google wanadai kimefungwa hadi u jailbreak napo nimeshindwa
 
Basi kama ina port ya HDMI kazi imeisha!!....... Cha kufanya nunua HDMI cable chomeka kwenye king'amuzi chako then ichomeke hapo kwenye hiyo HDMI port katika tv yako na kazi inakuwa imeisha kwa sababu utakuwa unapata tv channels kama kawaida!!
 
Hii kitu iko poa sana

Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-

1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C

Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi

Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni
Hizi Receiver unazo


1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams

Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri

Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth

Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event

oDHsWy.jpg



Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu

N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile

Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna

8oMZ0N.png
 
nisaidieni add on nayoweza kupata channel ka mtv trace na channel nyingine za mizk plus movies.
 
mbona nimecheki site ya vlc hapa wana app ya apple tv? idownload hio mkuu
Natoka nnje ya mada kidogo ila i do hope swali langu unaweza kulimudu kunijibu, Nina decoder ya digitek yenye cable ya HDMI, Jekuna namna yakuunganisha monitor za kawaida ya pc na kucheck tv steshen za kawaida?
 
Natoka nnje ya mada kidogo ila i do hope swali langu unaweza kulimudu kunijibu, Nina decoder ya digitek yenye cable ya HDMI, Jekuna namna yakuunganisha monitor za kawaida ya pc na kucheck tv steshen za kawaida?
Tafuta hii cable "HDMI Male to VGA"
upload_2017-4-6_19-54-37.png
 
Natoka nnje ya mada kidogo ila i do hope swali langu unaweza kulimudu kunijibu, Nina decoder ya digitek yenye cable ya HDMI, Jekuna namna yakuunganisha monitor za kawaida ya pc na kucheck tv steshen za kawaida?
kama monitor ina hdmi utahitaji tu waya wa hdmi kama haina utahitaji converter around 30,000 mpaka 40,000 hivi.

SB-AV-VGA-HDMI-1.jpg
 
nashukuru Kwa majibu yako natumai soon ntapata kuungalia Chanel za tv Kwa miundo mbinu ya bei rahisi japo Cjajua negative effect yake.
monitor haina setting kama za tv, ila uzuri wa monitor ni kwamba zina resolution kubwa, monitor ya 60,000 inakuwa na resolution kubwa kushinda tv za laki 5 hadi 7, na monitor ya laki 5 hadi milioni inashindana na tv za milioni tatu kupanda useme tu ukubwa wa kioo kwa monitor unakuwa mdogo wakati tv kioo ni kikubwa.

sababu monitor ni ndogo kiumbo zinafit mazingira ambayo hukai mbali na tv kama unakaa mbali hutaenjoy
 
Back
Top Bottom