lukule2009
Senior Member
- Sep 23, 2009
- 132
- 11
Mama Kilango naye awe anapima maneno anayoongea, anaropoka sana huyu mama yetu matamshi yake yanaweza kutafsiriwa vibaya na ikamharibia. Mambo ya kutokuwa na chuki ama kinyongo ayaweke moyoni mwake kuna haja gani ya kuyatamka hadharani unless anataka kujipendekeza kwa Lowassa! Na kwa nini awe na mawazo ya 'kuvamia' majimbo ya wengine wakati lake analo? Si awaache wanaowania kugombea kwenye majimbo hayo wao wenyewe ndio waseme ama wavalie njuga mapambano kwenye majimbo husika? Je ni background yake inafanya awe hivyo?
Very true ... halafu comments zake zinaonyesha ka uoga fulani .. oooh mimi sina ugomvi nae... hatat tukikutana tunasalimia ... why all that details... hawa wanasiasa wetu vipi???