kamwendo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 900
- 1,923
Nimevutiwa na na hili neno wakuu,nimelikuta hapa hapa JF na maana yake nimeijulia hapa..
Juzi nimejaribu kumwita rafiki yangu kwa jina hili, akaniambia tena yeye ni kilaza haswa, nikamuuliza unajua maana yake ni nini? Akashindwa kunijibu. Nilipomwambia namaanisha kwamba ni mjinga au mtu asiye na akili alibaki anacheka...
Tujivunie Kiswahili jamani.
Juzi nimejaribu kumwita rafiki yangu kwa jina hili, akaniambia tena yeye ni kilaza haswa, nikamuuliza unajua maana yake ni nini? Akashindwa kunijibu. Nilipomwambia namaanisha kwamba ni mjinga au mtu asiye na akili alibaki anacheka...
Tujivunie Kiswahili jamani.